NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,422
- 2,418
Pitia hiyo thread, hizo ni simu za kampuni ya Xiaomi, Poco & RedmiWale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja
Hello wanajukwaa natumai ni wazima wa afya! Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja, utundu na yale yote yaliyomo ndani ya simu hizi na bidhaa zingine za kampuni ya xiaomi. BINAFSI natumia xiaomi redmi note 4 simu iko vizuri...www.jamiiforums.com
Ngoja nimpigie kiongozi. Thanks.