Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
- Thread starter
- #21
Mnaboost iwe %Hio tuna boost chagua health unayotaka tukuwekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaboost iwe %Hio tuna boost chagua health unayotaka tukuwekee
Huwezi kupanda daladala hujakutana na Iphone XEbo! Mbn mnanichangny sasa
Kutokuzima data sio tatizo shida ni unafanyia NiniMpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Nhehehe kwahy S10+ ndo shegaHuwezi kupanda daladala hujakutana na Iphone X
Uhakika hiyo mkuu.Nhehehe kwahy S10+ ndo shega
Bas ngj npite nayoUhakika hiyo mkuu.
ata mi mwenyewe nimeshangaa. usije ukanunua hausing la simu tu.S10+ laki 4?
Acha utani basi mara moja ndani ya siku 2? Hiyo simu huwa unatumia kusoma emails na kujibu tu au?Mpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Eeh ukiweka mindset ya kuuziwa hausing utauziwa tu had sabunata mi mwenyewe nimeshangaa. usije ukanunua hausing la simu tu.
Okee.S10 plain ndy ndogo Ila 10+ ni kubwa kiumbo
Yan ukichaji jpl kuja kuchaji tena ni j4? Mkuu pls 🤣🤣Mpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Imereplace 6Huwezi kupanda daladala hujakutana na Iphone X
Kutokuzima data sio tatizo shida ni unafanyia Nini
Hakuna smart phone inakaa na chaji siku mbili ikiwa inatumika labda most of the time ikiwa idle
Simu yangu ilikuwa na 4000mah on usage h+kioo bila kuzima inatumia an average of 6-7.5% per hour
Sasa how come useme simu inakaa siku mbilibila kuchaji
Kifupi hutumii cm matumizi yako Ni madogo sana
Naipenda 10+ sababu Ina ram kubwa na storage kubwa pia Ina kamer KaliOkee.
Moyo wako unapenda nini?
Ram za s10 unafanyia kazi ganiNaipenda 10+ sababu Ina ram kubwa na storage kubwa pia Ina kamer Kali
X nayo naipenda inamuonekano mzur sema storage inaninyima aman
Huyo anunue tu 10c mpya Hana matumizi na simu au anunue INFINIX smart 6 chenchi akalewe tuYan ukichaji jpl kuja kuchaji tena ni j4? Mkuu pls 🤣🤣
Labda kama unawasha data sawa, na kisha unaweka simu hapo mezani.
Ila kwa ukichaji usiku mpk usiku ndio uchaji tena hapo sawa
Inapiga mzigo kama kawaida,movie,music nk.Huyo anunue tu 10c mpya Hana matumizi na simu au anunue INFINIX smart 6 chenchi akalewe tu
Inapiga mzigo kama kawaida,movie,music nk.