Phone4Sale Samsung S10+ or iPhone X plain

Phone4Sale Samsung S10+ or iPhone X plain

Mpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Kutokuzima data sio tatizo shida ni unafanyia Nini

Hakuna smart phone inakaa na chaji siku mbili ikiwa inatumika labda most of the time ikiwa idle

Simu yangu ilikuwa na 4000mah on usage h+kioo bila kuzima inatumia an average of 6-7.5% per hour

Sasa how come useme simu inakaa siku mbilibila kuchaji

Kifupi hutumii cm matumizi yako Ni madogo sana
 
Mpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Acha utani basi mara moja ndani ya siku 2? Hiyo simu huwa unatumia kusoma emails na kujibu tu au?
😁😁😁😁😁
 
Mpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Yan ukichaji jpl kuja kuchaji tena ni j4? Mkuu pls 🤣🤣
Labda kama unawasha data sawa, na kisha unaweka simu hapo mezani.

Ila kwa ukichaji usiku mpk usiku ndio uchaji tena hapo sawa
 
Kutokuzima data sio tatizo shida ni unafanyia Nini

Hakuna smart phone inakaa na chaji siku mbili ikiwa inatumika labda most of the time ikiwa idle

Simu yangu ilikuwa na 4000mah on usage h+kioo bila kuzima inatumia an average of 6-7.5% per hour

Sasa how come useme simu inakaa siku mbilibila kuchaji

Kifupi hutumii cm matumizi yako Ni madogo sana

Unajua nimemzoom huyo jamaa nikamwacha tu hajui anachozungumzia
 
Yan ukichaji jpl kuja kuchaji tena ni j4? Mkuu pls 🤣🤣
Labda kama unawasha data sawa, na kisha unaweka simu hapo mezani.

Ila kwa ukichaji usiku mpk usiku ndio uchaji tena hapo sawa
Huyo anunue tu 10c mpya Hana matumizi na simu au anunue INFINIX smart 6 chenchi akalewe tu
 
Back
Top Bottom