Samsung S9, note 8 na A50

Samsung S9, note 8 na A50

Mkuu njoo nikuuzie Samsung S8 bra new full boxed kwa 500k tu. Nakupa warranty ya mwaka mmoja kama upo serious njoo Pm

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hizo za kariakoo ni refurbished tu...box wanauza separate watakufungia full box uone ni mpya...
Kuhusu a50,note 8 na s9..kama unajua kukagua simu vzr na ukabahatika kuipata note 8 na s9 iliyotulia basi umeula..

Ila kama hutak kesi za refubished basi chukua zako a50 tu...

Ila s na note hizo ndio beast
Sasa hili langu liNote 9 cndo itakua nimeula baga,, japo hutak nipa Gcam yake mwaka wa 3 huu natuma maombi
 
Sasa hili langu liNote 9 cndo itakua nimeula baga,, japo hutak nipa Gcam yake mwaka wa 3 huu natuma maombi
[emoji3][emoji3] sasa ww umeula nusu...ungepata note 8 international version ndio ungepiga bao
 
Back
Top Bottom