Mkuu umefanikiwa kuishika Galaxy S21 ultra? Ina premium features zote ambazo zimekua combined.Binafsi Samsung hapa wameniboa yaani Wanaua Note series wakati ndio ilikuwa ina premium look.. chukua S20 au hata 21 na Note 20 ultra angalia muonekano na utaona Note ni way better, sasa wanatengeneza hiyo mi Galaxy Fold ambayo gharama zaidi na mibovu.. sijapenda walichofanya
Doh poleni mi nimepata tangu tarehe 16 Novumenifurahisha, mine will be updated January 2022
Mkuu umefanikiwa kuishika Galaxy S21 ultra? Ina premium features zote ambazo zimekua combined.
Ndo nakwambia hata muonekano S21 ultra ni balaaachana na features sijui performance nakwambia muonekano ile Design napenda squared shape
Ndo nakwambia hata muonekano S21 ultra ni balaa
Wewe ni Sawa na watu wanaoamini gari Bora duniani ni TOYOTA tu bila kujua kuna brand nyingine ni njema zaidi. Kutuambia Samsung na iPhone ndo simu pekee bila kuspecify toleo ni kuonesha ulivyofungiwa kwenye box. Kuna matoleo ya Samsung na iPhone mbovu bora hata Infinix.huwa tunawaambia humu kuwa brand za simu ni 2 tu yaani samsung& iphone12&13 tu[emoji23][emoji23] hayo mengine ni mamikebe ya kutunzia laini[emoji23][emoji23][emoji23]
Infinix ni nini?Wewe ni Sawa na watu wanaoamini gari Bora duniani ni TOYOTA tu bila kujua kuna brand nyingine ni njema zaidi. Kutuambia Samsung na iPhone ndo simu pekee bila kuspecify toleo ni kuonesha ulivyofungiwa kwenye box. Kuna matoleo ya Samsung na iPhone mbovu bora hata Infinix.
mimi ya kwangu ni S20 Ultra so I have to waitDoh poleni mi nimepata tangu tarehe 16 Nov
Ahaa sawa mkuu but sijaona changes kiiivyoomimi ya kwangu ni S20 Ultra so I have to wait
HakikaIla nimependa Samsung simu kama s10 inapata updates za os 4, zilitoka na Android 9, zikapata update ya Android 10, 11 na sasa Android 12 na usishangae hata Android 13 zikapata mwakani.
Ukitaka kufurahia simu nunua simu ambayo inaweza kupata software updates angalau 3 ama 4 hivi.
Naona wenye simu za kuanzia 2019 kushuka chini hatupati 12Angalia simu zinazostahili kupata hii update.
Samsung One UI 4.0/4.1 (Android 12): All the features, eligible phones, and more
Here's everything you need to know about Samsung's Android 12 UI.www.androidcentral.com
Hupati a10s ilitoka 2019,zinazopata ni kuanzia 2020Nipo na ka A10s kangu hapa, nilikanunua kakiwa na Android 9 sasa kana Android 11. Hope January update ya Android 12 itanifikia tena.
Sisi wenye flagship tablet ndiyo tunapata shida zaidi. Nikiwa mitaani na li Samsung Tab S7+ langu watu wananiangalia kwa macho yasiyoeleweka.Note ni kali zaidi. Kwanza ni kubwa kiuwezo na hata kimuonekano. Ila uwe na gari sasa au uwe unatumia uber kwa usalama unapoibeba maana vibaka hawatakuacha salama
S10 pluz ni ya 2019Hupati a10s ilitoka 2019,zinazopata ni kuanzia 2020
A50 yangu imechinjiwa baharini.Angalia simu zinazostahili kupata hii update.
Samsung One UI 4.0/4.1 (Android 12): All the features, eligible phones, and more
Here's everything you need to know about Samsung's Android 12 UI.www.androidcentral.com
Kuna Samsung zinazoweza kuzidiwa na infinix lakini hakuna infinix inayoweza kumzidi iPhone ..Wewe ni Sawa na watu wanaoamini gari Bora duniani ni TOYOTA tu bila kujua kuna brand nyingine ni njema zaidi. Kutuambia Samsung na iPhone ndo simu pekee bila kuspecify toleo ni kuonesha ulivyofungiwa kwenye box. Kuna matoleo ya Samsung na iPhone mbovu bora hata Infinix.
Ongeza redmi, OPPOhuwa tunawaambia humu kuwa brand za simu ni 2 tu yaani samsung& iphone12&13 tu[emoji23][emoji23] hayo mengine ni mamikebe ya kutunzia laini[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna infinix bora duniani.Wewe ni Sawa na watu wanaoamini gari Bora duniani ni TOYOTA tu bila kujua kuna brand nyingine ni njema zaidi. Kutuambia Samsung na iPhone ndo simu pekee bila kuspecify toleo ni kuonesha ulivyofungiwa kwenye box. Kuna matoleo ya Samsung na iPhone mbovu bora hata Infinix.