rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Hizo ni zako mkuuila una akili za kununua iphonne 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni zako mkuuila una akili za kununua iphonne 6
Tutakuwa tushafanywa maroboti sasaSim card ishaanza kuwa replaced tayari, tunapoelekea na simu zitakua replaced.
Selfishness...Waondoe spika na mic tutumie earphones
Kutakuja kitu gani sasa? Mbona kama hatujawa tayari kuachana na simu janja
Nakubaliana naww hasa kwny screenAccessory genuine inayokuja na simu ni tofauti na hizi za kuokota Kkoo.
Sometimes Burget, sometimes taste....n sometimes willHivi inakuaje mtu ananunua tecno fold 😂😂😂
Sony fan tooMimi ni Sony fan hadi watapofunga kiwanda 😀!
Sahizi niko na XZ1 nainjoy unyama tu juzi nimesahau bomba maji yamejaa hadi chumbani cha ajabu simu iko kwenye maji ila haijaharibika. Kumbe kitu ni waterproof bana 😀 😀 😀
😝😝😝 you all made my night....Airport
Taste ya tecno?? MmmhSometimes Burget, sometimes taste....n sometimes will
Nishawai kumiliki galaxy note 8 mkuu ilikua inachemka sana yani inapata moto hatari. je hizi note 10+ na 20 hazina shida hiyo nataka nivute moja.Samsung Galaxy Note20 Ultra 5G, the best one😘
Watu huwa mnadhani simu ni Samsung, iPhone na Google Pixel tu. Mnasahau kuna Xiaomi, Oppo, vivo, One Plus, Sony, Realme, Nothing phone nkUache samsung uende wapi?
Iphone?
Google?
Au wapi?
Hao wachina unajitahidi kuwapigia promo lakini wapi, soko hasa la Africa haliwaelewiWatu huwa mnadhani simu ni Samsung, iPhone na Google Pixel tu. Mnasahau kuna Xiaomi, Oppo, vivo, One Plus, Sony, Realme, Nothing phone nk
Dah,Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina msingi kutoka Kwa kampuni ya simu ya Iphone.
Hivi ni vitu baadhi ambavyo Samsung kaiga kutoka Kwa Iphone na vimeleta mabadiliko hasi Sana kwa watumiaji wa hizi simu za Samsung;
1 Wameiga kuondoa 3.5 mm jack kutoka kwenye simu za Iphone ;
Mwaka 2017 iphone waliondoa 3.5mm jack ya kuingiza Ear phones kutoka kwenye simu zao za Iphone 7. Matokeo yake Iphone walipondwa Sana na watumiaji wake na kukemewa vikali na kupondwa na makampuni ya simu ikiwemo Samsung.Chanzo Cha kuondoa 3.5 mm jack ilikuwa ni sababu Iphone walishindwa kutengeneza kioo full screen huku 3.5mm Jack ikiwepo.Iphone wanadai kwamba waliondoa 3.5 mm jack Ili waweze kutengeneza full screen BIla kizuizi.Kitu ambacho simu za android ilishaweza kutengeneza huku 3.5 mm jack ikiwepo.Tuseme tu android phones ZIPO mbele kiteknlolojia zaidi ya iPhone .
Swali langu ninajiuliza kwanini Samsung waliamua kuondoa 3.5 mm jack kwenye simu zao Kwa kumuiga iPhone wakati wanajua Iphone waliondoa hicho kitu sababu ya kukosa teknolojia ya kutengeneza full screen BIla kutoa 3.5mm jack?
2 Wameiga kutoweka charger na cover za simu kwenye Box la Simu mpya kama wanavyofanya Iphone ;
Nasikitika Sana kuona Samsung wamepata ujasiri wa kupakia simu tu kwenye Box BIla charger Wala Cover kama simu zingine za Android zinavyofanya.Watu wanatoa mamilioni lakini hawapati product zilizokamilika kwenye Box.Ni upuuzi mtupu.
Wakati simu zingine za Android zinajitahidi kuweka Hadi pre installed screen protector na accessories za simu zinazohitajika Sana Samsung wapo busy wanazidi kuziondoa.
Mimi ni mdau wa Samsung lakini hapa niseme tu Samsung wamefeli pakubwa.
Ni ajabu kukuta Flagship phone kama galaxy S23 ultra imekuja tu na USB Haina charger ni upuuzi mtupu tu.
NI BORA NIHAMIE KAMPUNI ZINGINE ZA SIMU MAANA SAMSUNG WAMEBADILIKA KUWA IPHONE SIO WAO TENA.
Shame on you ShameSung
Tatizo la soko la Africa ni MA Agent, hakuna kampuni yoyote ambayo official kabisa ipo hapa kwetu bali ni Agents wanaochukua hizo Tenda.Hao wachina unajitahidi kuwapigia promo lakini wapi, soko hasa la Africa haliwaelewi
Makampuni ya Kichina yenyewe mengi interest yao ni India na nchi nyingine za Asia kuliko Africa. Huku wachina wenye interest na sisi ni Tecno na Infinix ndio wameshika soko. Sioni ubaya kwenye hiyo post yangu mpaka usema napiga promo. Sony imebase Japan na Nothing phone imebase England ila wewe umeona Wachina tu. Tena hasa hasa umeiona Xiaomi hapo ndo ukakimbilia kupondaHao wachina unajitahidi kuwapigia promo lakini wapi, soko hasa la Africa haliwaelewi
Hizo used mkuu mpya hutapata kokoteNishawai kumiliki galaxy note 8 mkuu ilikua inachemka sana yani inapata moto hatari. je hizi note 10+ na 20 hazina shida hiyo nataka nivute moja.