Samsung yazidi kuwa Iphone

Samsung yazidi kuwa Iphone

Kwamba uliacha bomba wazi maji yakajaa hadi chumbani na simu uliacha ndani pia.😄😄
Yeah ilikuwa usiku mkuu, nakuja stuka katikati ya usiku chumba ni bwawa 😀 circuit breaker imekata umeme. Maana simu ilikuwa kwenye umeme naichaji naiwekaga chini ya kitanda.
 
Mfano wako ni tofauti mzee

Kwanini usiseme uuziwe gari halafu bila kupewa wese full tank?
Hahahahah hakuna mfano wangu uko very relevant. Power hub ni tank la mafuta. Sasa how comes upewe gari halafu tank ukachongeshe wewe. Its similar to buying a charger.
 
Hahahahah hakuna mfano wangu uko very relevant. Power hub ni tank la mafuta. Sasa how comes upewe gari halafu tank ukachongeshe wewe. Its similar to buying a charger.
Tank la mafuta ndio ukamilisho wa gari.

Bila tank la mafuta gari haiwaki labda utumie mchuzi juu uweke wese kwenye kopo la maji ya uhai.

Lakini kwenye simu, bila chaja simu inawaka na unaitumia. Na ndio maana simu unapoinunua unaikuta ikiwa tayari ina chaji kabisa
 
Tank la mafuta ndio ukamilisho wa gari.

Bila tank la mafuta gari haiwaki labda utumie mchuzi juu uweke wese kwenye kopo la maji ya uhai.

Lakini kwenye simu, bila chaja simu inawaka na unaitumia. Na ndio maana simu unapoinunua unaikuta ikiwa tayari ina chaji kabisa
Utaitumia kwa muda gani? 😀
 
Kwa muda wa kutosha kukufikisha home ambako una chaja yako ya zamani au dukani ambapo utaweza kuinunua.
Huo ni ujinga wa hali ya juu. Kwanini waamue ku assume kwamba una chaja ya zamani? Kama kimsingi hauna hio chaja ya zamani. What do you do then?
 
Huo ni ujinga wa hali ya juu. Kwanini waamue ku assume kwamba una chaja ya zamani? Kama kimsingi hauna hio chaja ya zamani. What do you do then?
Kila kitu na data mzee. Wao washafanya research wakagundua watu wengi wana miliki chaja za zamani.

Mfumo wa type C kwa flagship za Samsung ulianza 2017

Miaka 6 yote hiyo Samsung alikuwa anaweka chaja kwenye box.

Lakini pia

Mfumo wao wa chaji walio design kwenye simu ni very friendly karibia kila chaja inajaza fasta

So kutokana na kampeni ya kutokomeza plastic waste wao wameamua wasitishe utengenezaji wa chaja mpya. Na sio chaja tu vitu vingi vya plastic vinatazamiwa kusitishwa ikiwemo covers nk.
 
Kila kitu na data mzee. Wao washafanya research wakagundua watu wengi wana miliki chaja za zamani.

Mfumo wa type C kwa flagship za Samsung ulianza 2017

Miaka 6 yote hiyo Samsung alikuwa anaweka chaja kwenye box.

Lakini pia

Mfumo wao wa chaji walio design kwenye simu ni very friendly karibia kila chaja inajaza fasta

So kutokana na kampeni ya kutokomeza plastic waste wao wameamua wasitishe utengenezaji wa chaja mpya. Na sio chaja tu vitu vingi vya plastic vinatazamiwa kusitishwa ikiwemo covers nk.

Mkuu itoshe tu kusema umekuwa brainwashed na propaganda za kibiashara za kihuni za makampuni ya simu

Unapata wapi ujasiri wa kutetea ujinga kama huo wa uchafuzi wa mazingira?

Ukweli ni kwamba Apple waliopata mabilion ya dola kwa kuuza accessories baada ya kuzitoa kwenye box
Hii ndio sababu kuu na sio ujinga wa uchafuzi wa mzingira

Jamaa yangu alinunua S23 utra hadi leo hii amebadili kwa kununua charger zaidi ya 5 kwasababu kila charger aliyonunua au kuagiza online zilikuja kugoma kuchaji baadae

Hivi kweli uchukue chaja ya Samsung yako ya mwaka 2017 uanze kuchajia simu ya 2023?
Au unadhani kila charger inayoingia kwenye simu basi inafaa kuchajia?
Jiulize kwanini kila toleo linatoka na charger yake tena zinautofauti?

Mimi binafsi nina charger zaidi ya 20 za iPhone zilizo kufa kwenye store yangu ya makabrasha ghafi kwasababu kila charger ninayo nunua haimalizi mwaka inakufa
Lakini ningewekewa charger original kwenye box uhakika miaka 5 na zaidi
 
Mkuu itoshe tu kusema umekuwa brainwashed na propaganda za kibiashara za kihuni za makampuni ya simu

Unapata wapi ujasiri wa kutetea ujinga kama huo wa uchafuzi wa mazingira?

Ukweli ni kwamba Apple waliopata mabilion ya dola kwa kuuza accessories baada ya kuzitoa kwenye box
Hii ndio sababu kuu na sio ujinga wa uchafuzi wa mzingira

Jamaa yangu alinunua S23 utra hadi leo hii amebadili kwa kununua charger zaidi ya 5 kwasababu kila charger aliyonunua au kuagiza online zilikuja kugoma kuchaji baadae

Hivi kweli uchukue chaja ya Samsung yako ya mwaka 2017 uanze kuchajia simu ya 2023?
Au unadhani kila charger inayoingia kwenye simu basi inafaa kuchajia?
Jiulize kwanini kila toleo linatoka na charger yake tena zinautofauti?

Mimi binafsi nina charger zaidi ya 20 za iPhone zilizo kufa kwenye store yangu ya makabrasha ghafi kwasababu kila charger ninayo nunua haimalizi mwaka inakufa
Lakini ningewekewa charger original kwenye box uhakika miaka 5 na zaidi
Ni kweli
 
Mkuu itoshe tu kusema umekuwa brainwashed na propaganda za kibiashara za kihuni za makampuni ya simu

Unapata wapi ujasiri wa kutetea ujinga kama huo wa uchafuzi wa mazingira?

Ukweli ni kwamba Apple waliopata mabilion ya dola kwa kuuza accessories baada ya kuzitoa kwenye box
Hii ndio sababu kuu na sio ujinga wa uchafuzi wa mzingira

Jamaa yangu alinunua S23 utra hadi leo hii amebadili kwa kununua charger zaidi ya 5 kwasababu kila charger aliyonunua au kuagiza online zilikuja kugoma kuchaji baadae

Hivi kweli uchukue chaja ya Samsung yako ya mwaka 2017 uanze kuchajia simu ya 2023?
Au unadhani kila charger inayoingia kwenye simu basi inafaa kuchajia?
Jiulize kwanini kila toleo linatoka na charger yake tena zinautofauti?

Mimi binafsi nina charger zaidi ya 20 za iPhone zilizo kufa kwenye store yangu ya makabrasha ghafi kwasababu kila charger ninayo nunua haimalizi mwaka inakufa
Lakini ningewekewa charger original kwenye box uhakika miaka 5 na zaidi
Na hili ndio tatizo la wabongo wengi, kuweka doubt kwenye kila kitu ambacho hawakielewi.

Sasa unapima distance ya 2017 to 2023 na kuona kama ni mbali sana hivyo umbali huo lazima kuna vitu kuhusu mfumo wa chaji utakuwa umeboreshwa kwenye matoleo mapya, hivyo uone kuna uhitaji mkubwa wa kuwepo kwa chaja zinazoendana na mfumo huo mpya.

Haipo hivyo Mkuu

Umeambiwa existing users wataweza kutumia chaja zao za zamani kwenye devices mpya bila kikwazo kwasababu ya mfumo wa chaji walioweka ni very compatible na chaja zote.

Kampuni linapotoa tamko kama hilo linakuwa limefanya tathmini na kujihakikishia kuwa hakutakuwa na changamoto kwenye chaja za zamani kutumika kwenye devices mpya.

Huyo jamaa wako kivyovyote hakutumia chaja ya zamani ya Samsung, alikuwa anatumia chaja feki zile ambazo ndani kuna waya mbili
 
Back
Top Bottom