Zipo nzuri bei ndio watanzania tuna kimbiaAccessory genuine inayokuja na simu ni tofauti na hizi za kuokota Kkoo.
Sio ushenzi ni mabadiliko chanya atafute elimu kwanza ya faida za mabadiliko hayo....Analalamika kwa sababu huo ushenzi unaendelea hadi leo
Hivi inakuaje mtu ananunua tecno fold 😂😂😂mkuu rudi tecno mana siku hizi kuna hadi tecno fold
Vipi kuhusu hasara za mabadiliko hayoSio ushenzi ni mabadiliko chanya atafute elimu kwanza ya faida za mabadiliko hayo....
mkuu acha tuu, dunia ina mengi sana.Hivi inakuaje mtu ananunua tecno fold 😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi inakuaje mtu ananunua tecno fold [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa na hakika zingelikua zinawadhuru wateja wangesitishaVipi kuhusu hasara za mabadiliko hayo
Hapo hapo utakaponunua simuDuka gani?
Wateja wanapata shida kutafuta charger, wireless earpods nyingi zinaharibika tu na ili upate zile nzuri bei nayo imenyooka. Hata hivyo kuna issue ya kuzichaji pia.Kabisa na hakika zingelikua zinawadhuru wateja wangesitisha
😂😂😂 ila nimekaa kwenye tasnia ya simumkuu acha tuu, dunia ina mengi sana.
My dear mimi ni mtumiaji na muuzaji piaWateja wanapata shida kutafuta charger, wireless earpods nyingi zinaharibika tu na ili upate zile nzuri bei nayo imenyooka. Hata hivyo kuna issue ya kuzichaji pia.
Mimi ailalamikii Sana hayo mambo kwa upande wangu kwa sababu sio mtumiajj wa hivyo vitu kama earphones Ila kwa
wapenzi wa haya mambo lazima roho ziwaume.
Mhh!Wateja wanapata shida kutafuta charger, wireless earpods nyingi zinaharibika
Lakini sio kila earpods ni mbaya. Nzuri zipo Ila bei pia ipo juu ukilinganisha na wired earphonesMy dear mimi ni mtumiaji na muuzaji pia
Nina samsung earbudslive huu mwaka wa 3
Huyo earpods zake zinaharibika za brand gani?
PIli swala la chaja lipo miaka 3 sasa kwa samsung amini nakwambia mteja anayenunua
S series
Fold
Flip huwezi kumsikia analalamikia chaja hakuna na akijua hakuna anataka ile OG kabisa
Hii ni sawa kwa wale wateja wa IPHONES latest series hawezi kulalamika chaja na hatanunua kanjanja atahitaji OG
Situmii earpods wala earphones. Natumia speaker ya simuMhh!
Wanapataje shida na vitu vinauzwa madukani?
Pods gani hizo zinaharibika? Hapa nakataa, unless mnanunua za mchina toleo la mwisho ‘tsh 10k
Charger original ya Sony Xperia 1 IV ya 30W inauzwa kwa 50£. Hii bei ni kubwa kwa charger ya 30WMhh!
Wanapataje shida na vitu vinauzwa madukani?
Pods gani hizo zinaharibika? Hapa nakataa, unless mnanunua za mchina toleo la mwisho ‘tsh 10k
Mkuu wewe ni kama mimi sipendi za bluetooth kabisa, ninazo kama case mbili ila sizitumii, nikanunua za nokia original nmezitunza sana tahamaki nikazisahau pale bandarini wakati wa kusubiri usafiri.Sasahv napata tabu sana linapokuja suala la earphones. Nilinunua zile za Bluetooth bei chee case yake ikafa, nikanunua za waya type C na nilizitunza kwelikweli ghafla zikaanza kupiga sikio moja nazo zikafa. Na napenda za waya kuliko hizo za bluetooth.
Mimi sijasema mbaya Boss...embu fikiri anayenunua earpod ya laki 3 akakaa nayo miaka na anayenunua za elfu 80 kila miezi 6 nani anasave? Hapo sijaangalia quality ya bidhaa na more advanced features.Lakini sio kila earpods ni mbaya. Nzuri zipo Ila bei pia ipo juu ukilinganisha na wired earphones
Pia unafikiri watu wote wanaoununua S23 Ultra ni wale ambao walikuwa na Samsung S-series hapo kabla pekee?
Wengine ni new buyers. Ndio mara yao ya kwanza kununua S series halafu hawakuti charger. Wanapaswa kuspend hela nyingine pia kununua chaja baada ya kulipia dola 1400 kununua simu
Haya naona wewe ni mdau earpods za samsung zisizo za kutumbukia maskioni original napata wapi? yaani ziwe style hii iliyokaa kizamani ndio nzuri.My dear mimi ni mtumiaji na muuzaji pia
Nina samsung earbudslive huu mwaka wa 3
Huyo earpods zake zinaharibika za brand gani?
PIli swala la chaja lipo miaka 3 sasa kwa samsung amini nakwambia mteja anayenunua
S series
Fold
Flip huwezi kumsikia analalamikia chaja hakuna na akijua hakuna anataka ile OG kabisa
Hii ni sawa kwa wale wateja wa IPHONES latest series hawezi kulalamika chaja na hatanunua kanjanja atahitaji OG