Huku mzee watu hawajali unatoa ya moyoni wala kichwani, jitu litaweza kukujibu ujinga tu, tafuta threads zake angalia profile alafu pm.Imagine!....hata mimi amenishtua, ama ni yeye kwnye ID yake ya tatu?....aaah labda jukwaa limevamiwa!
Sammuel999 unatafutwa huku.Kuna hio probability though. Lets wait and see
😀😀🙄Huku mzee watu hawajali unatoa ya moyoni wala kichwani, jitu litaweza kukujibu ujinga tu, tafuta threads zake angalia profile alafu pm.
Jamani swali kwako akina MK254 pamoja na wenzako,swahiba huyu Samueli999 mpambanaji kiboko cha Annaeli pamoja na zumbekuku wenzake, yupo wapi?
cc Iconoclastes,Waltham,Annael,MOTOCHINI,NairobiWalker,MK254.
Mvute aje huku Mkuu mheshimiwa, aje angalau tupate kuhakiki kua hajapotezwa na Mungiki wa jubilee wa akina MK254 msimu huu wa mapambano...😀😛Yupo na anatumia I'D nyingine pia ipo Busy kule Dar Vs Nairobi
ila huyu mimi ningependa ajitokeze
maana kipindi hiki nimuhimu sana hapa jf
huyu yupo Upande wa NASA
Kiukweli Huwa anapovu zito kuhusu Uhuru
Aje atupatie Mambo ya NASA
Mvute aje huku Mkuu mheshimiwa, aje angalau tupate kuhakiki kua hajapotezwa na Mungiki wa jubilee wa akina MK254 msimu huu wa mapambano...😀😛
Hehehe!! @Samueli999 huibuka mara moja moja, atakua anatafuta wadhifa wa MCA au ubunge pale Nakuru. Naomba asiwe ametupwa jela kama yule Mtanzana alikua anajiita Askari ambaye nashuku alikua jela maana alipiga kimya kwa muda mrefu akaja kuibuka juzi baada ya Magufuli kuwaachia huru wafungwa kwenye sherehe zao za muungano.Jamani swali kwako akina MK254 pamoja na wenzako,swahiba huyu Samueli999 mpambanaji kiboko cha Annaeli pamoja na zumbekuku wenzake, yupo wapi?
cc Iconoclastes,Waltham,Annael,MOTOCHINI,NairobiWalker,MK254.
Hehehe Nimerudi mkuuJamani swali kwako akina MK254 pamoja na wenzako,swahiba huyu Samueli999 mpambanaji kiboko cha Annaeli pamoja na zumbekuku wenzake, yupo wapi?
cc Iconoclastes,Waltham,Annael,MOTOCHINI,NairobiWalker,MK254.
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23] NOOO!Nipo mkuu ,hii ndio id yangu kumbe ulikuwa haujui?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you see this Burundian Propagandist Not today SAITAN!Yupo na anatumia I'D nyingine pia ipo Busy kule Dar Vs Nairobi
ila huyu mimi ningependa ajitokeze
maana kipindi hiki nimuhimu sana hapa jf
huyu yupo Upande wa NASA
Kiukweli Huwa anapovu zito kuhusu Uhuru
Aje atupatie Mambo ya NASA
Ha ha ha ha! Nimwuite hapa?Hehehe!! @Samueli999 huibuka mara moja moja, atakua anatafuta wadhifa wa MCA au ubunge pale Nakuru. Naomba asiwe ametupwa jela kama yule Mtanzana alikua anajiita Askari ambaye nashuku alikua jela maana alipiga kimya kwa muda mrefu akaja kuibuka juzi baada ya Magufuli kuwaachia huru wafungwa kwenye sherehe zao za muungano.
BTW, kulikuwa na huyu jamaa alikuwa akiitwa Ab-Titchaz kapotelea wapi jamann?Mtu pekee huwa najiuliza kapatwa na nini
upande wa Wakenya ni Ab-Titchaz
huyu ni mode
lakini sijui alipatwa na tatizo gani
Ab-Titchaz Yupo hai kweli!?
Nimtu pekee Mkenya wa Jf asiye na Mbwembwe wala mijisifa,
Huleta habari humu za kila aina,Na sio zamisifa pekee.
Kipindi kama hiki Ulihitajika sana Ndugu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23] NOOO!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you see this Burundian Propagandist Not today SAITAN!
Hahaaaa al shabbabu walisha watekekeza siku nyingi huko somalia[emoji124] [emoji124]Jamani swali kwako akina MK254 pamoja na wenzako,swahiba huyu Samueli999 mpambanaji kiboko cha Annaeli pamoja na zumbekuku wenzake, yupo wapi?
cc Iconoclastes,Waltham,Annael,MOTOCHINI,NairobiWalker,MK254.
Siyo huyu 666 ni mtz soma nyuzi zake alizo anzisha ila 999 ni mkenyaPia yawezekana iwe ni wewe kweli maanake, kwenye ile ID nyingine una nambari 999 tatu hivi kama sijakosea, kwa hili pia una nambari 666 , kwa kifupi hulka na tabia ya kiumbe ni rahisi kuisoma na kuijua.
Wewe utakua unapenda nambaz hivi kama codes tukichunguza kwa makini...hilo tu laweza nipa kiburi cha kuamini kua ni wewe kweli.
Hehehe!! @Samueli999 huibuka mara moja moja, atakua anatafuta wadhifa wa MCA au ubunge pale Nakuru. Naomba asiwe ametupwa jela kama yule Mtanzana alikua anajiita Askari ambaye nashuku alikua jela maana alipiga kimya kwa muda mrefu akaja kuibuka juzi baada ya Magufuli kuwaachia huru wafungwa kwenye sherehe zao za muungano.