samuel999 yupo wapi?

samuel999 yupo wapi?

Hahaaaa al shabbabu walisha watekekeza siku nyingi huko somalia[emoji124] [emoji124]

Mwana ,nyie wanake bashite sijui mtajifunza lini?.. ugaidi haushabikiwi,kuna ndugu na dada polisi washapotea kabisa ,hata juzijuzi tu hapo Bongo,ila ukiliita jina stahiki tukio hilo utatupwa Lupango hapo hapo Bongo,shauri yako.
 
Mheshimiwa Samuel999, ahsante kwa kuitikia wito.
Nikutaarifu tu,kuna mhuni humu ametuhangaisha humu akijificha nyuma ya ID feki huku akituaminisha eti ni wewe.
Huyu atakua ndiyo hao hao wenye vyeti feki wanaocharazwa bakora na Mhe. rais wao.
Yaani ametukosesha usingizi maanake nilishindwa mbona Samuel999 amegeuka bongolala hivi hata mjadala mdogo hauwezi tena?
Nikafiria labda huenda umelishwa mazingaombwe hususan wakati huu wa mapambano,yaani hadi nikamshutumu MK254.
Kumbe ni kahuni fulani ka south,mchawi kwelikweli.
Karibu rasmi!
 
Mwana ,nyie wanake bashite sijui mtajifunza lini?.. ugaidi haushabikiwi,kuna ndugu na dada polisi washapotea kabisa ,hata juzijuzi tu hapo Bongo,ila ukiliita jina stahiki tukio hilo utatupwa Lupango hapo hapo Bongo,shauri yako.
Hao polisi wanajitakia wenyewe kwa kudharau wananchi wanashindwa kuwa na uhusiano mzuri na RAIA wema kwaiyo watajijua mwenyewe ainihusu
 
Hao polisi wanajitakia wenyewe kwa kudharau wananchi wanashindwa kuwa na uhusiano mzuri na RAIA wema kwaiyo watajijua mwenyewe ainihusu

Haya basi walakin hao magaidi watakapoanza kukiandama kichwa chako hicho husiwalilie polisi maanake kibakuli chako hicho tabidi ulifunge.
Tabidi ukauchukue mkuki wako ukajitetee mwenyewe.
 
Uzi wangu huu wa kwanza mwaka huu alfu mbili na kumi na saba,jamani mnipige sapoti ikaingie angalau kurasa kumi.
Nduguz yeyote kati yenu ana uhuru wa kuzungumzia chochote humu.
Iwe vijembe,shobo,mada za kihuni,ugaidi,mipasho,kujuliana hali,masengenyo na kadhalika.....😀😀!
 
Uzi wangu huu wa kwanza mwaka huu alfu mbili na kumi na saba,jamani mnipige sapoti ikaingie angalau kurasa kumi.
Nduguz yeyote kati yenu ana uhuru wa kuzungumzia chochote humu.
Iwe vijembe,shobo,mada za kihuni,ugaidi,mipasho,kujuliana hali,masengenyo na kadhalika.....😀😀!

Ngoja nitafute habari mbaya za Kenya halafu niziongeze humu kukuongezea kurasa 😕😕😕😕
 
70% standard 3 pupils can't handle class 2 work, says report
May. 01, 2017, 12:30 am | By STEPHEN RUTTO

About 70 per cent of standard three pupils cannot handle standard two classwork, a study shows.

The report by Twaweza East Africa also indicates that 11 per cent of standard eight learners in Kenya cannot do standard two classwork.

Twaweza East Africa communication officer Izel Kipruto said declining quality of education in primary schools is alarming.

“We are facing a crisis in the education sector. It is shocking that poor quality of education is not being addressed,” she said.


Kipruto spoke at a hotel in Iten, Elgeyo Marakwet county, on Friday. She asked the Education ministry to improve the quality of education in primary schools.

In Elgeyo Marakwet, the report says, only 32 per cent of standard three pupils can successfully handle standard two tasks. “We can ask ourselves why the remaining 68 per cent of learners lack basic literacy and numeracy skills.

They cannot even read a standard two book,” Kipruto said. The Twaweza study was conducted in three East African countries to contribute to the improvement of learning among students aged between six and 16 years.

70% standard 3 pupils can't handle class 2 work, says report

Cc Iconoclastes Sammuel999
 
Kaibuka mwingine mhuni mwezie yule kanyaboya....ID yake jeepee007, kweli tumevamiwa.😱
 
Ndo zao hizo, kituo chao cha kwanza pa kutua wanapotoroka makali ya maisha Bongo.
Wanapapenda asilani.
Na karibu wote hudai kuwahi kuishi huko.....hahaha.

Ina maana hiyo ndiyo hali yao ya maisha huko Bongo, ingawaje wanaikebehi wakiwa Kenya.
 
Uzi wangu huu wa kwanza mwaka huu alfu mbili na kumi na saba,jamani mnipige sapoti ikaingie angalau kurasa kumi.
Nduguz yeyote kati yenu ana uhuru wa kuzungumzia chochote humu.
Iwe vijembe,shobo,mada za kihuni,ugaidi,mipasho,kujuliana hali,masengenyo na kadhalika.....😀😀!
Mimi sio mtu wa vijembe
Mimi sio mtu wa shobo
Mimi sio mtu wa mada za kihuni

Ila nimechagua hapo underlined....
 
Na karibu wote hudai kuwahi kuishi huko.....hahaha.

Ina maana hiyo ndiyo hali yao ya maisha huko Bongo, ingawaje wanaikebehi wakiwa Kenya.

Kabisaa Mkuu, ndege utawajua tu kwa mbawa wao unaoendana!
 
Mimi sio mtu wa vijembe
Mimi sio mtu wa shobo
Mimi sio mtu wa mada za kihuni

Ila nimechagua hapo underlined....

Mmmh!..naona, nimekupata kwenye rada yangu!
Ahlan wassalan ......karibu!
 
Mmmh!..naona, nimekupata kwenye rada yangu!
Ahlan wassalan ......karibu!
Shukrani.. nimeona ulikuwa unamtafuta ndugu yako mara akajitokeza Mtu mwingine [emoji16][emoji16]. Pole
 
Mhe. Daby Niruhusu nikawatambulishe ,kakaz ndugu zangu Iconoclastes na MK254 pamoja na samuel999 na wengine toka Kenya, mkajuliane hali basi.
Itabidi huwe unashinda kwenye majukwaa za Kikenya ili ukajifunze lugha ya SHENG'I,kama tu ilivyo matamanio yako.
 
Back
Top Bottom