Wanajamvi,
Nimesoma na kusikiliza vyombo mbali mbali vya habari na mitandao ya jamii, Mh.6 anaonekana kukubalika zaidi kuliko wagombea wengine kutokana msimamo wake thabiti na ile slogan yake ya "Standard and speed".
Unashauri nani kuwa speaker wa Bunge la Katiba? Tiririka
Wanajamvi,
Nimesoma na kusikiliza vyombo mbali mbali vya habari na mitandao ya jamii, Mh.6 anaonekana kukubalika zaidi kuliko wagombea wengine kutokana msimamo wake thabiti na ile slogan yake ya "Standard and speed".
Unashauri nani kuwa speaker wa Bunge la Katiba? Tiririka
Pandu Amir Kificho
wewe unaota au?
Sio kwamba ninaota CCM wanaichukulia vile vile kama sehemu ya kutafuta muafaka katika chama.
Endapo akipewa sita maana yake kambi ya Lowasa itakuwa imepigwa bao hali kadhalika akipewa Chenge kambi ya kina sitta itakuwa imepigwa bao. Hivyo basi CCM itajitahidi kumuweka mtu asiyefungamana na upande wowote na hapo ndipo Pandu Amir Kificho anabakia kuwa keti muhimu kwa CCM. Ni vyema tukakumbuka mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba hajichagui isipokuwa ni mikakati madhubuti inayokuwa imewekwa hapo awali.
Mkuu nahisi watu wanaesabu nazi wewe unaesabu makumbi!
...
Haiwezekani unaloliongea kwa sababu huyo kificho kwa sasa ni mwenyeki wa muda!