Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Wanajamvi,
Nimesoma na kusikiliza vyombo mbali mbali vya habari na mitandao ya jamii, Mh.6 anaonekana kukubalika zaidi kuliko wagombea wengine kutokana msimamo wake thabiti na ile slogan yake ya "Standard and speed".
Unashauri nani kuwa speaker wa Bunge la Katiba? Tiririka
Nimesoma na kusikiliza vyombo mbali mbali vya habari na mitandao ya jamii, Mh.6 anaonekana kukubalika zaidi kuliko wagombea wengine kutokana msimamo wake thabiti na ile slogan yake ya "Standard and speed".
Unashauri nani kuwa speaker wa Bunge la Katiba? Tiririka