Sanaa na Utamaduni zihamishiwe katika Wizara ya Utalii na sio kama zilivyo sasa Wizara ya Habari?

Sanaa na Utamaduni zihamishiwe katika Wizara ya Utalii na sio kama zilivyo sasa Wizara ya Habari?

SIPENDI SIASA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
791
Reaction score
1,199
Mbona kama utalii unaendana sana na masuala ya utamaduni na sanaa kama vile nguo na vinyago vya wamasai??

Sasa vinyago vya wamasai na habari, wapi na wapi wakuu?? Au sanaa za wamakonde na michezo ya Simba na Yanga ni wapi na wapi??

Hivi hawa wanaopanga hivi vitu ndani ya Wizara huwa wanawazaga nini??

Eti TCRA ipo chini ya Wizara ya Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia..

~ SIPENDI SIASA ~
 
Wahusikaa nazan wamekusikia mkuu ,omba wakukumbuke katk fikra zao watelekeleze utakalo....
 
Mbona kama utalii unaendana sana na masuala ya utamaduni na sanaa kama vile nguo na vinyago vya wamasai.

Sasa vinyago vya wamasai na habari, wapi na wapi wakuu?? Au sanaa za wamakonde na michezo ya Simba na Yanga ni wapi na wapi??

Hivi hawa wanaopanga hivi vitu ndani ya Wizara huwa wanawazaga nini??

Eti TCRA ipo chini ya Wizara ya Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia..

~ SIPENDI SIASA ~
Hata wangepekekwa wapi, muhimu ni kupunguza upana wa Cabinet na kuwa na watu competent kwenye wizara.
 
Mbona kama utalii unaendana sana na masuala ya utamaduni na sanaa kama vile nguo na vinyago vya wamasai.

Sasa vinyago vya wamasai na habari, wapi na wapi wakuu?? Au sanaa za wamakonde na michezo ya Simba na Yanga ni wapi na wapi??

Hivi hawa wanaopanga hivi vitu ndani ya Wizara huwa wanawazaga nini??

Eti TCRA ipo chini ya Wizara ya Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia..

~ SIPENDI SIASA ~
😀 Kumeanza kunoga nn hapo Dodoma?
 
Hivi hizi Wizara zote zilizopo zina msaada gani kwa industry husika ? Mimi naona kama tu ni kikwazo na kuharibu... Case in Point suala la Bundle katika mawasiliano TCRA na kina Nape na Wenzake tangia kipindi cha JPM cha kuleta mambo ya Bei elekezi ndio wametufikisha hapa.... (Bundle hazishikiki) hence bora wasingekuwepo (The only achievement wameleta lile Robot la Nape)

 
Hivi hizi Wizara zote zilizopo zina msaada gani kwa industry husika ? Mimi naona kama tu ni kikwazo na kuharibu... Case in Point suala la Bundle katika mawasiliano TCRA na kina Nape na Wenzake tangia kipindi cha JPM cha kuleta mambo ya Bei elekezi ndio wametufikisha hapa.... (Bundle hazishikiki) hence bora wasingekuwepo (The only achievement wameleta lile Robot la Nape)

Mhh..
 
Mbona kama utalii unaendana sana na masuala ya utamaduni na sanaa kama vile nguo na vinyago vya wamasai.

Sasa vinyago vya wamasai na habari, wapi na wapi wakuu?? Au sanaa za wamakonde na michezo ya Simba na Yanga ni wapi na wapi??

Hivi hawa wanaopanga hivi vitu ndani ya Wizara huwa wanawazaga nini??

Eti TCRA ipo chini ya Wizara ya Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia..

~ SIPENDI SIASA ~
Huenda wazo lako wakalisikia maana kuliwahi kuwa na Wizara inayoitwa Ardhi, Maliasili na Utalii miaka ya 1970-1980
 
Back
Top Bottom