Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
ReallyMmh we Nili abnormal kabsa..View attachment 979062
Huyo Ni Mohammed alikufa akiwa kibogoyo, very foolish Mohammed
Huyo Ni Mohammed alikufa akiwa kibogoyo, very foolish Mohammed
Majesuit ndio wana jipya? Ambao kazi yao ni kuua wanaolipinga kanisa katoliki na UPAGANI wake?we msabato huna jipya
Pumba. Tupu
Hebu fanya constructive criticism basi. Huwezi kuandika pumba tupu halafu ukaingi mitini bila kusema kitu cha maana
Wao ndio wanakubali haya, na wanafanya utafiti kila kukicha ingawa sisi ni kusoma tu ila bado tuko nyuma sana kiutafiti.Kitu kimoja tunachotakiwa tukikubali waafrika hasa wa sub- Sahara African tulichelewa kupata civililazation ..haya mambo mengine tunaonekana kama tunaiba historia za watu ..inakuwa kama afrocentric Fantasy ..mara utasikia Yesu alikuwa mweusi,mara black walijenga pyramid ,mara jews walikuwa weusi..tatizo ni moja hatuna strong evidence za kusapport claims zetu.
Kuusu hii story ya Incient Egypt kuna michoro ndani ya pyramind inaonesha blaçks tulikuwa treated kama slaves ..hamna kipind katika historia mambapo blacks tulikuwa treated well na hawa white people including WarabuWao ndio wanakubali haya, na wanafanya utafiti kila kukicha ingawa sisi ni kusoma tu ila bado tuko nyuma sana kiutafiti.
Acha watutafunie tu na sisi ni kumeza tu View attachment 979172
We Jesuits run the world.Majesuit ndio wana jipya? Ambao kazi yao ni kuua wanaolipinga kanisa katoliki na UPAGANI wake?
Ni mashetaniWe Jesuits run the world.
For better Catholic
Vitu kama hivi ndivyo vinavyo shusha hadhi ya JF. Unaacha kujikita katika uchambuzi wa mada unaingizia udini na kukashifu dini za watu ni heri kukaa kimya si ujinga mkuu ni busara zaidiUislamu ni utumwa wa fikra
Ni kweli in a way ingawa miaka ya nyuma sana walikuwepo hata jewsKuusu hii story ya Incient Egypt kuna michoro ndani ya pyramind inaonesha blaçks tulikuwa treated kama slaves ..hamna kipind katika historia mambapo blacks tulikuwa treated well na hawa white people including Warabu
Acha amini upumbavu wako walokole pia Kuna wachawi FreemasonryNi mashetani
Ndio waliomuua abraham linkon
Jesuits Ni chama cha mashetan
Sudan kuna Pyramids...? Sijawah sikia hiiiMakabila yetu mengi yametokea kaskazini kwenda magharibi na kuja mashariki. Makabila yetu mengi tu yametokea huko Misri, Sudan na Ethiopia. Vita na ukame vimefanya tuje huku tulipo. Misri ya kale ilikua ya watu weusi ila imevamiwa na watu weupe kwa kipindi kirefu toka wagiriki,warumi na waarabu mwishoni. Pia tukumbuke majirani zao wa sudan wanamapiramidi mengi kuliko Misri ila hayana promo ili kudidimiza historia ya mtu mweusi.
Ndio tena zipo nyingi kuliko Misri. Misri kusini na Sudan ndo makazi ya wanubi wa kale ambao waliwahi pia kuwa mafarao wa Misri. Wamisri na wanubi ni jamii moja yenye muingiliano mkubwa sana.Sudan kuna Pyramids...? Sijawah sikia hiii
Sasa why yasiwe maarufu hayo ya SudanNdio tena zipo nyingi kuliko Misri. Misri kusini na Sudan ndo makazi ya wanubi wa kale ambao waliwahi pia kuwa mafarao wa Misri. Wamisri na wanubi ni jamii moja yenye muingiliano mkubwa sana.
Promo na pia sio makubwa kama yale machache ya Misri.Sasa why yasiwe maarufu hayo ya Sudan