Sanamu la KEMET huko Misri



Hii elimu inakufaa wewe mwarab koko FaizaFoxy. Tulikuambia kuwa ustaarab tulianzisha sie watu weusi ukatubishia na sasa huyu mwenzako anakuja kukuelemisha ili ukawafundishe waarab koko wenzio.
 
JF huwa kuna mada nzuri sana ila zikishaingiliwa na wafia dini ndio basi tena!!
Wapo ambao huwa kazi yao ni kukashifu na kutukana dini, ni tabia ambayo nafikiri ni malezi ya nyumbani wanafundishwa chuki kila kukicha

Sent from my SM using Tapatalk
 
MKUU MBONA HATA MALAIKA NAO NI WEUSI TENA NI ILE TRAIT YA IDD AMIN DADA KABSAA
 
Huwa najiuliza sana tunaposema mtu mweusi ndie wa kwanza kustaarabika mbona maisha tunayoishi si ya kistaarabu? Ifikie point tuache kutafuta huruma ya dunia. Waliotuzidi wametuzidi tu. Kama tuliweza kuwa hivyo mwanzo iweje sasa tumekuwa kituko na watu dhalili mbele ya watu weupe ambao tuliwazidi ustaarabu awali???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naanza kuamini kuwa wote katika mashariki ya Kati mpaka huku kwetu Afrika yawezekana tulikuwa na rangi moja kwa maana rangi ya chokleti (Hakuna mtu mwe
usi nakataa) ila Hawa wenyewe race nyeupe kama hawatupendi hivi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nini mapiramid yapo Afrika hasa misri Sudan na Uganda na si mashariki ya kati na ulaya kama kweli hayakujengwa na watu weusi waafrika.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…