Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Wamefel mno
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwaingizi wao mkenge,bali sisi wenyewe ndio tunajiingiza mkenge,kwa kuenzi vitu ambavyo sio vyetu.hapo mabeberu wanaingizwa mkenge kiaina.
Daah huu ndiyo U great thinker, sijapata huko but this is very valid and good observations. Halafu ni ajabu sana kuweka jaguar wakati Morogoro kuna mbuga za wanyama na nature reserves nyingi tuu, pia milima ya uluguru inayotiririsha maji. Nashauri hii post ukaibandike pia kwenye ukurasa wa Mhe Kigwangala kule Twitter ataufanyia kazi, sometimes yuko sharp.Wiki iliyopita nimepita roundabout ya Msamvu na kuona kazi nzuri ya kutengeneza sanamu zinazoonesha vivutio vyetu. Moja ya sanamu hizo ni ile ya chui akimkamata mamba. Nina tatizo na hii sanamu. Jamii ya chui wenye tabia na uwezo wa kukamata mamba wanaitwa jaguars wanaopatikana bara Amerika. Hawa wanafanana kwa muonekano na hawa chui (leopards) tulionao hapa nchini. Na jamii ya mamba ambao huweza kukamatwa/kuliwa na hawa jaguars wanaitwa caimans ambao hupatikana pia bara Amerika. Caimans wanafanana na mamba (crocodiles) hawa tulionao hapa nchini ila wao, pamoja na tofauti zingine, ni wadogo kwa umbile.
Kwa ufahamu wangu hatuna jaguars wala caimans hapa nchini. Kama hivyo ndivyo, nini mantiki ya kuweka sanamu za wanyama ambao hawapatikani hapa nchini wakati tunao wanyama wengi tu ambao tungeweza kuweka sanamu zao?
Msanifu wa mradi
Fundi Maiko
Rubbish...Haikupi ugali ,umeshasema ni kivutio,wakiweka chochote sawa tu
Hawezi kuelewa, hiyo inahitaji akili kubwa...Mkuu, hujui vivutio ni utalii, na utalii ni pesa, na pesa ndio ugali?
Kama wewe unavyomkosoa Mungu kwa kupanda manywele ya bandia kwenye hiyo Avatar yako.wabongo bwana hata ufanye nini lazima wakosoe
Pole sana, akili yako ndo umeishia hapo, kalagabaho...Yaani wabongo kwa kukompliket mambo
Natumai na 'mtaa' huu huwa anapita pita (au hata wasaidizi wake).Daah huu ndiyo U great thinker, sijapata huko but this is very valid and good observations. Halafu ni ajabu sana kuweka jaguar wakati Morogoro kuna mbuga za wanyama na nature reserves nyingi tuu, pia milima ya uluguru inayotiririsha maji. Nashauri hii post ukaibandike pia kwenye ukurasa wa Mhe Kigwangala kule Twitter ataufanyia kazi, sometimes yuko sharp.
Dada yangu Jane. ichukulie vyovyote unavyoona inakufaa, hoja, umbea, upuuzi, uchochezi, ubishi..n.k.Hii nayo hoja?
msanifu lazima atakuwa ni kijana ambaye alikutana na ile video ya yule chui akikamata mamba kwenye mitandao ya kijamii.. yeye akaona ni bonge la issue bila kufanya researchWiki iliyopita nimepita roundabout ya Msamvu na kuona kazi nzuri ya kutengeneza sanamu zinazoonesha vivutio vyetu. Moja ya sanamu hizo ni ile ya chui akimkamata mamba. Nina tatizo na hii sanamu. Jamii ya chui wenye tabia na uwezo wa kukamata mamba wanaitwa jaguars wanaopatikana bara Amerika. Hawa wanafanana kwa muonekano na hawa chui (leopards) tulionao hapa nchini. Na jamii ya mamba ambao huweza kukamatwa/kuliwa na hawa jaguars wanaitwa caimans ambao hupatikana pia bara Amerika. Caimans wanafanana na mamba (crocodiles) hawa tulionao hapa nchini ila wao, pamoja na tofauti zingine, ni wadogo kwa umbile.
Kwa ufahamu wangu hatuna jaguars wala caimans hapa nchini. Kama hivyo ndivyo, nini mantiki ya kuweka sanamu za wanyama ambao hawapatikani hapa nchini wakati tunao wanyama wengi tu ambao tungeweza kuweka sanamu zao?
mlima wanaweka pale round ya masika...Daah huu ndiyo U great thinker, sijapata huko but this is very valid and good observations. Halafu ni ajabu sana kuweka jaguar wakati Morogoro kuna mbuga za wanyama na nature reserves nyingi tuu, pia milima ya uluguru inayotiririsha maji. Nashauri hii post ukaibandike pia kwenye ukurasa wa Mhe Kigwangala kule Twitter ataufanyia kazi, sometimes yuko sharp.
Muwe mnajipa walau dakika moja kutafakari basi. Mtu unachangia mpaka wengine wanaona aibu kwa jinsi unavyoshindwa kuweka mambo kwenye upeo?Haikupi ugali ,umeshasema ni kivutio,wakiweka chochote sawa tu
Hapana. Tunaomba usichukulie huo msemo ku-brainwash watu hapa. Observation ya mwanzisha thread ni nzuri sana. Kama huwezi kuona logic iliyo ndani yake basi pole sana.wabongo bwana hata ufanye nini lazima wakosoe
Hao hawakosekani!Ajabu kuna watu wanakupinga na watakupinga.
Una hoja mkuu.