Sanamu za wanyama mzunguko (roundabout) wa Msamvu, Morogoro.

Exposure ya watu wa local government iko poor sana.,no wonder PM mstaafu mzee pinda aliwahi kuwaponda akasema au kwa sababu mko local govt ndo mnafanya mambo kilocal?
 
Watoe
Period.
Halafu kuna wengine wa.etengeneza twiga ambaye hafanani kabisaa , na kuna nyati hapo kibaha ni kituko kichwa kidogo kama kondoo.
 
Mambo ya Morogoro hayo. Mjini kasoro bahari

Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio wasema hatunao ila wanaotengeneza wanajua kwamba tunao
 
Tuishukuru serikali ya awamu ya tano
Kishindo Cha Awamu Ya Tano

πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…
Ukiona Mtu Hapendi Amani Ujue Huyo Ni Tatizo Hapa Tanzania
Alikuwa Mkorofi Mpaka Alipokuwa Tumboni Mwa Mama Yake
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…