Sanchezi atachemsha Manchester UTD

manchoso

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
1,605
Reaction score
2,055
ukweli ni kuwa mourinho anasumbuliwa na frustration za moto wa guardiola hadi ameingia chaka kwa sanchez. sanchezi ni kiazi kwa sasa na hatoipa mafanikio yoyote man u

mwezi wa tano mwaka huu 2018 atakuwa na excuse labda hajaizoea timu
lakini wadau tukutane tena 2019 na tuone jinsi garasa sanchez atavyochemsha

mourinho hakuwa na haja ya kulipa mapesa yote hayo kwa wiki kwa sanchezi amechemsha

wenger kamuingiza chaka mourinho na kampa bomu ambalo litakuja kumlipukia na huko aliko ni kama vile namuona mzee wenger anavyomcheka kimya kimya adui yake

mark my word!
 
Duh! Bongo bana
 
Ndio Tanzania yetu hiyo, mtu akijua tu kuyatamka majina ya wachezaji kwa mbwembwe na historia kidogo basi anakuwa mchambuzi wa soka!
hujui kitu wewe nenda lile jukwaa la mipasho
 
Mashabiki wa aseno wa kuwahurumia,sanchez juzi katoa assist mbili za magoli murua leo unamwona garasa uliza huko timu yao ya Chile pia
 
Mashabiki wa aseno wa kuwahurumia,sanchez juzi katoa assist mbili za magoli murua leo unamwona garasa uliza huko timu yao ya Chile pia
kiazi mwezie lukaku alianza na mbwembwe zaidi ya hizo, na sasa hivi naona kawa mkali zaidi anatoa assist had kwa man city
ki ukweli mourinho huwa ni mtu wa kutulia sana anaposajili ila sanchezi ni miongoni mwa usajili mbovu ambao ameufanya kila nikimuangalia sanchezi namkumbuka mateja kezman
 
Wewe ni mgonjwa kama wagonjwa wengine sasa hii nitathimini au tunguli muhangarie Luis shua pale bac wenye livo zako walisema kahama Liverpool sasa kaisha Leo ?????? Nenda na wakati usiende na siku
 
Wewe ni mgonjwa kama wagonjwa wengine sasa hii nitathimini au tunguli muhangarie Luis shua pale bac wenye livo zako walisema kahama Liverpool sasa kaisha Leo ?????? Nenda na wakati usiende na siku
usimfananisha suarezi na sanchezi wapo tofauti kama maji na mafuta

we huoni huyo sanchezi wako alichemka barca suarezi ni level nyingine kijana
 
Lazima, tena itakuwa varangati ya kufa mtu, domo kaya hana kuremba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…