Sanchi: Na nitagawa sana papuchi kama inakuuma njoo na wewe nikupe

Sanchi: Na nitagawa sana papuchi kama inakuuma njoo na wewe nikupe

Hujafanya audience analysis wakati unapost uzi wako,kwani kila mtu anamjua huyo sanchi ungeweka hata picha yake tumfahamu wote
sancho.jpg
 
Wamesema ati chama kikuu chenye hati ya kutawala kimepata ushindi wa kishindo. Nadhani hili nalo ni tusi la kishindo kwetusisi wafupi. Tuende wapi tena wakati hata kampuni za watengeneza viatu hamtengenezi tena raizoni zetu zile pendwa zilizotuongezea angaa 6" urefu? Nasema kwa uchungu mkubwa moyoni baada ya tangazo lako hili. Tutajifungia ndani usiku hata lini??
Hahah nimecheka sana aiseee
 
Hakuna kisicho na kasoro, unaweza kukuta kitandani ni wabaridi au linashusha maji hatari.
 
Mwanadada Sanchi ameamua kuwajibu wanaomsema kwamba yeye ni Malaya na amejirekodi picha za uchi kwa makusudi ili atangaze biashara yake.

Sanchi amewajibu kwamba atagawa sana papuchi kwani ni yake hajaiazima kwa mtu yoyote hivyo asipangiwe matumizi. Yeye ndiyo anaamua papuchi yake aitumiaje.

Pia amewataka wanaume waache umbea umbea wa kumsema mitandaoni na waseme kama wanataka papuchi yeye ndiye atakupima kama unafaa kupewa papuchi au hufai kwani papuchi yake ina heshima hawezi kuitoa hovyo hovyo.

Pia amesisitiza kuwa yeye anapenda wanaume warefu, weusi na wanene wa wastani.

Amesema yeye kurekodi picha ya ngono nyie kinawauma nini kama mnamuonea donge na nyie karekodini zenu.

Source : YouTube channel.
Hongera Sana SANCHIWODI.
 
I agree with you dude. Kwanini wenye wenzele ndio wanaongoza kujirekodi na kutupia mitandaoni?
Kwasababu ni aibu kwa asie na wezele kutuonyesha ujinga wake...yan ni sawa na mtu kununua rims za almas na mziki mnene akaufunga kwenye vitz yake
 
Kina relate na alichokiongea au ww unazani kamaanisha nini?

Alafu kwani Kingwendu huwezi ukamquote,au nyie ndio zile type ya watu mnajaji kutokana na mwonekano wa mtu.

Basi mimi si mtu wa type hiyo,i have huge respect kwa Kingwendu.

Au ww quotes zao unazoziamini za motivation speaker?

Au ukitaka kuwa SERIOUSLY ni mquote NANI?

Alafu ww ambaye unaniona sipo SERIOUSLY upo kwenye uzi wa WASANCHOKA.

Sasa sijajua hata kama unajua nini maana ya SERIOUSLY.
Ubarikiwe sana mkuu!
 
Back
Top Bottom