JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Katika hali ya kustaajabisha mrembo wa dar anayetisha kunako choo ametupia katika ukurasa wake wa snapchat akiwashukuru kigali kwa kumuingizia $10,000. Jamani kwa umbumbumbu wangu mwenye kunijuza anisaidie kujua huyu sanchoka ni msanii wa fani gani? Na kigali alifanya show gani na wapi kwa kipaji kipi hadi kulipwa pesa nyingi hivi? Mbona vipaji vimekuwa kimyakimya hivi?
Baada ya kuingia na kutoka bureau de change[emoji116][emoji23][emoji23]
Baada ya kuingia na kutoka bureau de change[emoji116][emoji23][emoji23]