Sanchoka asema hatumii dawa, umbo lake amerithi kwa mama

Mwanamke mwenye mwili mzuri lakini akiwa Hana akili sehemu zake za Siri hupata tabu sana
 
Hapo kweli amerithi kila kitu hata tabia , maana huyo mama naye anaonekana hazimo kabisa
 
Namuomba Mungu wanangu wasiwe na Mama kama huyu wa kupiga picha kuonyesha umbo lake😬 Hasara
 
Hivi aliyewaambia hawa viumbe kwamba makalio makubwa ni dili sana ni nani???
 
Wanawake wa kichaga wote ni flat screen inch 50 ,ukiona ni Hitachi chogo basi jua hiyo ni Made in China
 
Yani Dah Sanchoka ananimaliza aisee !!!!!!

Tako la kukatiwa bima kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…