Kwa wanaopenda mizigo, anastahili hiyo mahari.. zigo la kuvunja chaga
Hahaha basi lipa hiyo 10m uchukue zigo, ukaliamshie dude.Nimeisha tengeneza chaga ambazo zinahisi uzito wako kisha automatic zinajiset kulingana na uzito wa mtu /watu wanaolala kitandani.
Si unageukia mtandao pendwa nawewe,ule haujawah kupwaya[emoji3][emoji3]Kwanza ni test nipate radha yake unaweza kuta bwawa la mtera [emoji12][emoji12][emoji12] milioni 10 sio ishu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee kweli lknUnauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Amejihami hana lolote akija kuulizwa why ujaolewa atasema hakuna wa kumtolea mil 10
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nahisi ndo anayotumia kufikiri ndo mana amekurupuka!!Milioni 10 sababu ya iyo mitako au. .....mitako yenyewe wanaijua Dunia nzima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani huu Uzi umenivunja mbavu jmn akipita anaweza tamani ayarudishe maneno yke Mdomoni!!Ngoma lizeeke bila kuolewa tujigongee kwa buku jero tu.
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
View attachment 533607
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
Wana shepu nzuri sana sema hawakai uchi kama huyo muuza mbunyeHASITUTISHE HIZO NI SHEPU ZA KIBANTU KIJIJINI KIBAO WANA HIZO SHEPU SEMA SIO MAARUFU,SISI NI WA BANTU BHANA,ANGEKUWA MZUNGU NA HILO TAKO KIDOGO NISINGECHANGIA KITU
Kijiji gan mkuuUyo ni tumegonga sana utotoni hana jipya
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]UKIMPA HIYO MILION 10 UTAKUTA KUTENGEZA UZI "NINA MTAJI WA MILION 10 ,NIFANYE BIASHARA GANI?"
Wamasai hatuli vitu used, tunataka vitu brand new unakata nyuzi mwenyeweAnataka kununuliwa mwambie akaolewe usukumani Bariadi au Umasaini, ameshakuwa used vya kutosha hafu anapanga mahari huyo ni zero brain