Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Kwa wanaopenda mizigo, anastahili hiyo mahari.. zigo la kuvunja chaga


Nimeisha tengeneza chaga ambazo zinahisi uzito wako kisha automatic zinajiset kulingana na uzito wa mtu /watu wanaolala kitandani.
 
Nimeisha tengeneza chaga ambazo zinahisi uzito wako kisha automatic zinajiset kulingana na uzito wa mtu /watu wanaolala kitandani.
Hahaha basi lipa hiyo 10m uchukue zigo, ukaliamshie dude.
 
This is intelligence in disguise,kana akili sana haka kabinti kametamka hivyo ili kapate attention na kameipata kubwa tu kazi kwake kula vichwa sasa
 
Ngoma lizeeke bila kuolewa tujigongee kwa buku jero tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani huu Uzi umenivunja mbavu jmn akipita anaweza tamani ayarudishe maneno yke Mdomoni!!
 

Million 10 , ndogo sana , ngoja tumpe teja mmoja lije likuoe.
Umasikini na upungufu wa akili
 
Hivi kumbe mkulu alisema kweli kuhusu watu kukimbia Dar ifikapo July
 
Kajazwe huko huna lolote...nani anataka kukuoa.....atakufuata atakutolea tu sisi wengine tunajua K no K tu
 
Halafu unakuta bwawa lina maji mengi.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…