Bralicom
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 572
- 391
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
Hahahahaha[emoji53] Sasa hapo mil 10 kwa kipi? Kipi kigeni maana vyote wameviona nchi hii kasoro kilichofunikwa. Muda mwingine asitumie hilo fungashio lake kufikiri, vinginevyo atakuja kuomba kuolewa bure
Hahaha mkuu jina lako dahhh simchezoUKIMPA HIYO MILION 10 UTAKUTA KUTENGEZA UZI "NINA MTAJI WA MILION 10 ,NIFANYE BIASHARA GANI?"
Wazee wa makaburi mneanza..
Sasa hivi nadhani gharama itakuwa mil 15+
Hao wengine short time ⌚ unatoaga ngapHuyu hata ukimpa milioni 10 bado hafugiki. Bora mkubaliane short time ya laki moja halafu kila mmoja asepe. Hata hivyo hiyo laki nayo nyingi.
Sent using Jamii Forums mobile app