Huyu kei anataka amkomoe mmewe dawa nikumpiga mimba nakumwacha azalie nyumbani kisha unaenda kulipa fainiMWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
Waulize waliooa walilipa bei gani ndo uje uandike hapaWatu wanaponda tu kisa hawana hiyo mil 10....Kwa sanchoka mimi hata mil 50 natoa tu.....Hii kitu natural wazee
Mwaka juzi nilishuhudia kwa macho yangu shinyanga , wao wanajiita wanyantuzu, wazazi wa binti walipewa ngombe 47 ambazo kwa harakaharaka @ ni wastan wa 5kilo! Loo! Wanyantuzu nikawauliza, kwa nini wametoa mali nyingi kiasi hicho, je mtoto ni mzuri sana kupita kiasi? Wao walijibu, la hasha, nitabia ya binti na ukoo wao. Kifupi walinieleza uzuri si kitu cha msingi sana katika utoaji wa mahali usukumani. Ni tabia ya mwolew na familia husika. Vitu hivi viwili huwezi kuvitenganisha huko usukumani katika suala la kuolewa kwa mtoto wa kike. Kwa kuwa wao wamo humu, watujuze juu ya hili. Karibuni.Wasukuma wanaolewa mpaka kwa ng'ombe 50 chukua kila 1@400,000=20,000,000
Hapo ndo ujue watu wanafata heshima na siyo makalio
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
Hahahahahaha ndo wapi hukoUnauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Unauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi.
Yalllaah!Mtoto wa kichaga anauza k kwa ml 10...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]