Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Bila kujali umri, mitaala, afya, maumbile, nk?
 


Hivi huyu demu hana ndugu wenye akili timamu? Akiona wanaume hawammaindi inabidi asome alama za nyakati, hakuna mwanamme anayetaka mwanamke msindikizaji au chakula cha wote, watamtumia tu mwisho wa siku yeye mwenyewe akiona kachoka ataanza kuuza chapatti mtaani. Tunamsubiri.
 
hapo kila kitu cha kutengeneza ***** kuanzia ngozi,nywele, kucha, tu-makalio na kipapa afu unataka 10mil kwanini izo pesa nisiende kwa WEMA SEPETU au IRINE UWOYA tukazimaliza lakini na mimi natoka moyo msafi
 
Atakaemuoa kwa 10m atakuwa anabakwa na panzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…