Sio usikute, huyu ni seti ya memba tupu anaonekana kabisa. Upstairs kungekuwa vizuri hawezi Sema hivyo, kuna watu hizo milioni kumi ni za mboga, wanaweza kumpa na wakamdhalilisha. Thamani ya mtu haipimwi kwa pesa.Usikute kichwani ni chenga anajihami kwa makalio
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Akizung-umza na Star Mix, Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
Hahaha, sawa bibie, ila kama utahitaji mpiga picha mimi najitolea bure kabisa.Baki na kibiti na mkuranga yako. . Picha sipigagi mkuu
Sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ntakuPMHahaha, sawa bibie, ila kama utahitaji mpiga picha mimi najitolea bure kabisa.
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ntakuPM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoma lizeeke bila kuolewa tujigongee kwa buku jero tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unajipigia.debe au sio?Mfyuuu shape yake mbona kama yangu tu. . Sema tu mimi sio maarufu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Akizung-umza na Star Mix, Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Unajipigia.debe au sio?
Karibu kwangu uwe nyumba ndogo yangu [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]