Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Sanchoka: Bila mahari ya milioni 10 siolewi

Milioni 10 sababu ya iyo mitako au. .....mitako yenyewe wanaijua Dunia nzima
Dr,Simba umefurahisha sana milioni kumi kwa hayo Matako watu walioyapiga vibao na hana nyuma wala mbele kote kumeshaharibiwa.
 
hivi
Dr,Simba umefurahisha sana milioni kumi kwa hayo Matako watu walioyapiga vibao na hana nyuma wala mbele kote kumeshaharibiwa.
Homorapa hajakagonga kweli haka? maana nasikiaga "dawamondu" alishagapiga, na yule msanii wanamuita "class" naye tayari sijui kweli.!
 
hio kumi natoa maana pesa nnayo honga kwa mwaka plus pesa ya lodge na vinywaji, club inazidi ten M
 
Kwanza ni test nipate radha yake unaweza kuta bwawa la mtera [emoji12][emoji12][emoji12] milioni 10 sio ishu
 
Nenda pembeni kidogo utaikuta hii thread na video naomba uwe unapitiapitia
 
Hata ukitoa hiyo mahari,ukitaka unyumba utalazimika kuandika barua ya maombi wiki mbili kabla.
 
anhaa, sawa..mmh uchumi unakaba M 10 parefu sitakuwa tayari aisee
Mkuu salama?

Naomba nikushauri jambo....

Unaonaje hiyo signature yako ukaifupisha maana inachanganya sana kwa namna ninavyoona hasa ukiandika text fupi.....

Ni hivyo tu mkuu.....
 
Mkuu salama?

Naomba nikushauri jambo....

Unaonaje hiyo signature yako ukaifupisha maana inachanganya sana kwa namna ninavyoona hasa ukiandika text fupi.....

Ni hivyo tu mkuu.....
Anhaa sawa mkuu, nimekusikia ombi lako nitafanya hivyo..usijali
 
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.
Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.

View attachment 533607

“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
Kwel thaman yake ndogo kwel yaan milion 10 tu mi nilijua milion labda 30 na kuendelea wiki iliyopita tu shoga angu kaolewa kwa milion saba na si celebrity wala nin na huyo kaka kipato chake ni cha kawaida sana sasa huyo muuza sura kwel aiseees pandisha tena
 
Milioni kumi mbona ndogo,me mke wangu nilitoa milioni 15
 
Kwa wanaopenda mizigo, anastahili hiyo mahari.. zigo la kuvunja chaga
 
Mjulisheni kuwa Mimi natoa mahali 25millions aje faster Kama anaweza.
Na hiyo 25m ni bila kodi namanisha kodi na kila gharama za kuhamisha hela hiyo nalipia mwenyewe.

Aje PM.
 
hivi akina aunt wamelipiwa mahari,,,,wanasema ukijionana mtakatifu kulikua na watakatifu zaidi yako alkadharika wapo waliokua juu zaidi yake.
 
Back
Top Bottom