Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja avue vigi umuone kichwa kama chupa uone kama io mil 10 utatoaWatu wanaponda tu kisa hawana hiyo mil 10....Kwa sanchoka mimi hata mil 50 natoa tu.....Hii kitu natural wazee
Hakuna lolote la maana alichoongea zaidi ya ufusika, kitumbua tulishakichezea hadi tukatupilia nje, leo eti mtu atishie mil.10 !!!!, kahaba siku zote hana thamani. Huyu ni demu na changu wa kujivinjari mitaani siyo mke. Ukimuoa utajichora sana kila mtu alishatumia akapotezea. Kama anakataa muulize je ni Bikira ????MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
View attachment 533607
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
Nouma Nouma sana umetisha sana.Unauza nini kwani? Ina ATM ndani? Hiyo milioni 10 mtu ukienda Nanjilinji si unarudi na wanawake fuso mbili. K ni K bwana.
Hata hivyo ni mpumbavu tu anayeweza kutamani kuoa lijitu linaloamua kujidhalilisha hivyo kwenye akadamnasi. Tena zaidi ya yote huyo ni mchina tu. Hana lolote la asiliMillion kumi kwa ajili ya tako au? Au anatoa tigo?kwani Kuna tofauti gani papuchi yake na wengine?Ukiona hivyo Huyu anatabia ya watu kula samaki lazima umgeuze upande wa pili,Atasubiri sana,labda atapata wa kuchezea tu,haolewi
MWANAMITINDO na video queen mwenye umbo tata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa thamani yake ni kubwa hivyo mwanaume anayetaka kumuoa lazima ajipange kwa mahari ya milioni 10 za Kitanzania.Sanchi mwenye figa matata alisema kuwa, siku zote wanaume wanaowaoa wanawake kwa mahari ndogo huwachukulia hivyohivyo lakini akilipa mahari kubwa hata heshima inakuwepo na uthamini pia.
View attachment 533607
“Unajua mwanaume wa kweli unampima kwenye vitu vidogo kama hivyo, mimi mahari nataka iwe ya heshima kabisa na kama mtu hana milioni hiyo 10 basi hana sifa ya kuwa mkewe na kunimiliki,” alisema Sanchi
Hahaaaa. You made my dayAmejihami hana lolote akija kuulizwa why ujaolewa atasema hakuna wa kumtolea mil 10
Itakuwa za Mugabe maana kule hata kununulia mkate hazitoshi hahahaMillioni 10 za mugabe au za uncle magu ??
Boyfriend wake atakuwa anasimamia shoo kibao ikiwapo ya kuhahakisha hilo kalio halianguki km la wema ko ni halali yake apige bureeeBoi frendi anaichapa bure alafu mume aje atoe m10 labda huyo mume atoke kibiti