Dume Jembe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 333
- 411
Kuanzia leo wanakuwa sanda fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahahaSubir Yanga watangaze mtoko wa taifa ununue mkuu.
Maendeleo hayana chama wala Kibu Denis.
Angalia hii ya Real Madrid kama ina hayo unayoyalilia, na wao ndio mabingwa wa UEFA Champions League, na wala hatuwasikii na ushamba wa kushikia bango jeziDaaah, hapa Simba wamepigwa na designer...alichofanya nikubadilisha rangi za jezi tu na kola ila 'Pateni' ya designing ni ile ile.
Hivi viongozi kwenye ku'review designing na kuletewa jezi za sampo hawakuliona hili? Maswali ni mengi ila acha niishie hapa hapa kwa leo
Wazuri hao warembo na si hizo jezi. Vaa wewe uone..!!
Wala halina ubaya wowote, tusaidiane kuikuza brand ya mdhamini wetu wa jezi ndugu Sanda Omari YengaKuanzia leo wanakuwa sanda fc
Mwakani muweke kaburi..!! Kaburi FCWala halina ubaya wowote, tusaidiane kuikuza brand ya mdhamini wetu wa jezi ndugu Sanda Omari Yenga
Ahaa, kumbe unakubali kuwa inakuwa mbaya ukiivaa wewe! Sasa hayo ni matatizo yako binafsi, usiyahamishie kwa wengine. Kama nguo hazikukubali, usivunje kioo cha kujitazamia 😁 😁 😁Wazuri hao warembo na si hizo jezi.
Nasisitiza, wazuri ni hao warembo na si hizo jezi. OVAAhaa, kumbe unakubali kuwa inakuwa mbaya ukiivaa wewe! Sasa hayo ni matatizo yako binafsi, usiyahamishie kwa wengine. Kama nguo hazikukubali, usivunje kioo cha kujitazamia 😁 😁 😁
Majezi mabayaaaa anyway uwanjani tutaenda hata na jezi za man u na Liverpool kikubwa wekundu uwepoView attachment 3050876
Hawa Sandaland waliingiaje kwenye nafasi ambapo wapo saivi kutengeneza majezi ya Taifa Stars na Simba?? Baada ya set za kwanza za Simba na T-Stars niliona niwape benefit of doubt.. yaani waliingia tu sokoni. Ila kwenye hiyo majezi mapya ya Simba wameonesha na thibitisha hawana ubunifu wa kutosha kutengeneza majezi kwa timu za kiwango hiki.. Bora VunjaBei au GSM lakini Sanda kwa kweli hapana.. hakuna kitu hapo
Nimekumbuka mfanyabiashara mmoja aliagiza mafuta ya Kula toka Oman yameandikwa Hayati. Yaliyomkuta hatarudia.Asipouza vizuri ni ujinga wake mwenyewe. Haiwezekani watu na akili zao usikute hata 10 wasione shida ya hilo neno. Unapo design kitu fikiria consumer badala ya kujifikiria wewe. Mimi naweza nisione tatizo ila je majority?
Hii ni ya kwako tu. Dunia nzima haipo. Jezi ni mtoko wa kishabiki.Tatizo Kwa ajili ya ugumu WA Maisha watu wanavaa jezi mpaka kwenye shughuli na nyumba za kuabudia. Hizo ni nguo za mazoezi acheni ushamba.
Sanda FC bana.View attachment 3050876
Hawa Sandaland waliingiaje kwenye nafasi ambapo wapo saivi kutengeneza majezi ya Taifa Stars na Simba?? Baada ya set za kwanza za Simba na T-Stars niliona niwape benefit of doubt.. yaani waliingia tu sokoni. Ila kwenye hiyo majezi mapya ya Simba wameonesha na thibitisha hawana ubunifu wa kutosha kutengeneza majezi kwa timu za kiwango hiki.. Bora VunjaBei au GSM lakini Sanda kwa kweli hapana.. hakuna kitu hapo
Sanda FC, hatari sana.