dhuuuuu
Maka hapajawahi kuwa patakatifu,maka ni sawa na Mbeya kwenye kimondoSanduku la agano inasemekana lipo pale Maka chini ya ardhi yake ndipo lilipohifadhiwa tangu kizazi na kizazi. Ndo maana mahala pale ni patakatifu hadi Kesho
For your information, Yesu ni nabii issa.Maka hapajawahi kuwa patakatifu,maka ni sawa na Mbeya kwenye kimondo
Kwanza waislamu na Sanduku la agano wapi na wapi ?
Vile vitu vyote mule kwenye sanduku ukivichambua vinamuwakikisha Yesu Hadi kifo pale msalabani
Issa sio Yesu ,hiyo ni propaganda ya waislamu kujinasibisha na manabii wakiyahudiFor your information, Yesu ni nabii issa.
Kwa nini unasema Macca sio patakatifu?π³π