Sanduku la Agano liko wapi?

Sanduku la Agano liko wapi?

Sanduku la agano inasemekana lipo pale Maka chini ya ardhi yake ndipo lilipohifadhiwa tangu kizazi na kizazi. Ndo maana mahala pale ni patakatifu hadi Kesho
Maka hapajawahi kuwa patakatifu,maka ni sawa na Mbeya kwenye kimondo

Kwanza waislamu na Sanduku la agano wapi na wapi ?

Vile vitu vyote mule kwenye sanduku ukivichambua vinamuwakikisha Yesu Hadi kifo pale msalabani
 
Kwahiyo lipo Ethiopia?
Ethiopia kuna ukoo wa lawi?
Lipo sehemu gani?
 
Maka hapajawahi kuwa patakatifu,maka ni sawa na Mbeya kwenye kimondo

Kwanza waislamu na Sanduku la agano wapi na wapi ?

Vile vitu vyote mule kwenye sanduku ukivichambua vinamuwakikisha Yesu Hadi kifo pale msalabani
For your information, Yesu ni nabii issa.

Kwa nini unasema Macca sio patakatifu?😳🙄
 
For your information, Yesu ni nabii issa.

Kwa nini unasema Macca sio patakatifu?😳🙄
Issa sio Yesu ,hiyo ni propaganda ya waislamu kujinasibisha na manabii wakiyahudi

Ndio maana wanapatamani na Yerusalemu wakati sio Yao ,ulishawahi kusikia Ukristo au Uyahudi ukijinasibisha na Maka au Madina?
 
Kwahiyo lipo Ethiopia?
Ethiopia kuna ukoo wa lawi?
Lipo sehemu gani?
Hakuna anayejua lipo wapi,ila huenda lilifichwa kwenye moja ya milima ya Israel kipindi wababeli wamekuja kuharibu hekalu
 
Nasubiri jibu naona wengine mmeingiza maada ya ukristo na uislamu tena [emoji28][emoji23]
 
Back
Top Bottom