Hii ni 30 minutes or less breakfast, ila unaweza kula mda upendao au hata kuweka kwenye lunchbox ukabeba kazini.
Mahitaji( kwa ajili ya sandwich 4)
1)Slesi 4 za mkate
2)Majani ya kotmir (giligilani) kiasi, unaweza kuweka iliyosagwa pia
3)Kitunguu saumu 1/4 kijiko cha chai
4)Bizari ya manjano kidogo sana
5)Blueband 1/2 teaspoon kwa ajili ya kupakaa kwenye slices zetu za mkate.
6)Pilipili mboga, kata ndogo ndogo unaweza weka na pilipili ya kuwasha ukipenda.
7)Chumvi kiasi.
8)Mayai 3 ukubwa kiasi.
9)Kitunguu maji 1/2.
Namna ya kutaarisha mayai kwa ajili ya sandwich
Weka mafuta kidogo kwenye pan
Kaanga kitunguu maji kwa dakika 2 alafu weka pilipili mboga
Weka saumu,bizari,chumvi na giligali kaanga kwa muda mfupi.
Kabla viitunguu havijawa brown weka mayai na koroga yachanganyike na vitunguu na kuwa vipande vipande, alafu weka katika bakuli yapoe.
Namna ya kutaarisha sandwich
Pakaa blueband kwenye slices zako za mkate na weka mayai kama ufanyavyo kwa sandwich za kawaida....
Weka kwenye jiko la sandwich.
Tazama kama tayari kuiva.
Toa tayar kwa kuliwa.
Mahitaji( kwa ajili ya sandwich 4)
1)Slesi 4 za mkate
2)Majani ya kotmir (giligilani) kiasi, unaweza kuweka iliyosagwa pia
3)Kitunguu saumu 1/4 kijiko cha chai
4)Bizari ya manjano kidogo sana
5)Blueband 1/2 teaspoon kwa ajili ya kupakaa kwenye slices zetu za mkate.
6)Pilipili mboga, kata ndogo ndogo unaweza weka na pilipili ya kuwasha ukipenda.
7)Chumvi kiasi.
8)Mayai 3 ukubwa kiasi.
9)Kitunguu maji 1/2.
Namna ya kutaarisha mayai kwa ajili ya sandwich
Weka mafuta kidogo kwenye pan
Kaanga kitunguu maji kwa dakika 2 alafu weka pilipili mboga
Weka saumu,bizari,chumvi na giligali kaanga kwa muda mfupi.
Kabla viitunguu havijawa brown weka mayai na koroga yachanganyike na vitunguu na kuwa vipande vipande, alafu weka katika bakuli yapoe.
Namna ya kutaarisha sandwich
Pakaa blueband kwenye slices zako za mkate na weka mayai kama ufanyavyo kwa sandwich za kawaida....
Weka kwenye jiko la sandwich.
Tazama kama tayari kuiva.
Toa tayar kwa kuliwa.