el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
daah..
mchezaji anayeanza panga pangua kwenye timu bingwa england hapati namba national team.
anyways mi naona kocha kaamua kuendelea na anachokiamini, anaamini ozil aliyezingua arsenal na wengineo ambao hawakuwa na msimu mzuri wanaweza kuwika zaidi ya sane ambaye ameupiga mwingi zaidi
mchezaji anayeanza panga pangua kwenye timu bingwa england hapati namba national team.
anyways mi naona kocha kaamua kuendelea na anachokiamini, anaamini ozil aliyezingua arsenal na wengineo ambao hawakuwa na msimu mzuri wanaweza kuwika zaidi ya sane ambaye ameupiga mwingi zaidi