Ndio anawazidi woteKwenye ukabaji na kutengeneza nafasi anawazidi hao!?..ubunifu!!!
Unakumbuka world cup ya 2010 fainali!?..pasi ya goli alitoa nani?..unaufahamu umuhimu wa pasi ya mwisho?..kati ya ozil na sane nani ana maono kwenye mpira?daah..
mchezaji anayeanza panga pangua kwenye timu bingwa england hapati namba national team.
anyways mi naona kocha kaamua kuendelea na anachokiamini, anaamini ozil aliyezingua arsenal na wengineo ambao hawakuwa na msimu mzuri wanaweza kuwika zaidi ya sane ambaye ameupiga mwingi zaidi
Sane na uzito ule wa mtetea atamkaba nani ndugu yangu?!!Ndio anawazidi wote
Ozil kwani anamkabaga nani?Sane na uzito ule wa mtetea atamkaba nani ndugu yangu?!!
Tukiacha kukaba,kati ya ozil na sane nani ana uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi from no where!?..usipimie man city ambako kasi huifanya timu pinzani kuwa dhaifu kiulinziOzil kwani anamkabaga nani?
Gortzeka na sane msimu huu nani amefanya kazi?Tukiacha kukaba,kati ya ozil na sane nani ana uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi from no where!?..usipimie man city ambako kasi huifanya timu pinzani kuwa dhaifu kiulinzi
Kazi ya sane man city ilikua moja tu,kukimbia upande wa kushoto na kupiga pasi aidha 45 degrees au krosi,ujerumani hawachezi huo mfumo,kuna mdau hapo juu kasema kocha amemchukua huyo mwingine kwa kuwa ana cha ziada..kukabaGortzeka na sane msimu huu nani amefanya kazi?
Kwani kocha hawezi kumuelekeza ?Kazi ya sane man city ilikua moja tu,kukimbia upande wa kushoto na kupiga pasi aidha 45 degrees au krosi,ujerumani hawachezi huo mfumo,kuna mdau hapo juu kasema kocha amemchukua huyo mwingine kwa kuwa ana cha ziada..kukaba
Hivi chelsea wakiamua kucheza kwa kutumia krosi watampanga nani?..giroud au morata!?..huyo atakaeachwa hawezi kufundishwa kupiga vichwa!?Kwani kocha hawezi kumuelekeza ?
Mbona mwanzo alicheza?
Kumuacha sane ni dhambi kubwa mnoHivi chelsea wakiamua kucheza kwa kutumia krosi watampanga nani?..giroud au morata!?..huyo atakaeachwa hawezi kufundishwa kupiga vichwa!?
siwalinganishi sane na ozil.Unakumbuka world cup ya 2010 fainali!?..pasi ya goli alitoa nani?..unaufahamu umuhimu wa pasi ya mwisho?..kati ya ozil na sane nani ana maono kwenye mpira?
Basi mkuu..kwa leo tuishie hapaKumuacha sane ni dhambi kubwa mno
Alikua na msimu mzuri man city..ila ujerumani haichezi mfumo wa man city,waivuruge ujeruman ili sane awemo au wamvuruge sane!!?siwalinganishi sane na ozil.
na usitake kusema role ya sane haina umuhimu kwenye mpira/timu anayochezea.
nilichosema ni kwamba sane alikuwa na msimu mzuri zaidi kushinda wachezaji wengi ambao wameitwa ujerumani
unaanza kulinganisha attacking midfielders na wingers!!Tukiacha kukaba,kati ya ozil na sane nani ana uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi from no where!?..usipimie man city ambako kasi huifanya timu pinzani kuwa dhaifu kiulinzi
Naungana na weweunaanza kulinganisha attacking midfielders na wingers!!
hapa tutabishana hadi kesho ila sababu ya kumuacha sane anayo joachim low
Hukumuona EURO ?
NAfasi ya sane kachukua nani hapo ujerumani?..euro alicheza mechi ngapi?alianza zote au sub?
Mkuu sane katika mechi 12 za timu ya taifa alizocheza hajafunga goli hata moja na ka assist moja tu, watu wanapiga kelele lakini hawajamuona sane akiwa na timu ya taifa, sio sane huyo wa man city, sijawahi muona sane akicheza vzr akiwa na NT.Kukimbia kimbia huko ndiko kulimfanya afunge MAGOLI 16, atoe ASSISTS 18 na kushinda TUZO ya mchezaji chipukizi msimu ulioisha.
Kocha, Joachim Low ameeleza sababu vizuri kabisa; Ya kuwa Sane na Julian Brandit wa Leverkusen wanacheza namba moja ila amemchukua Brandit kwa kuwa anaweza ku offer zaidi ya Sane upande wa kukaba/kuzuia japokuwa ni kweli Julian alikuwa na magoli + assists chache kulinganisha na Sane.
Hayo ni ya mwalimu, tumuachie yeye.
Ni kama yule dogo wa PERU & Villareal, Marcos Penna alivyotolewa kafara ili kumpisha mtu mzima GUERRERO aingie baada ya ban yake ya kutumia COCAINE kuwa lifted kwa muda baada ya rufaa. Dogo anasema hii ni siku mbaya sana kwake katika maisha yake ya mpira.
Mpira sometimes una disappointments zake...
Kumbuka namna ROMARIO alivyolia mbele ya waandishi wa habari baada ya kuachwa na ZAGALO WC ya France, 1998.
The list goes on...
Wakati wa EURO mbona alikuwa na nafasi?Mkuu sane katika mechi 12 za timu ya taifa alizocheza hajafunga goli hata moja na ka assist moja tu, watu wanapiga kelele lakini hawajamuona sane akiwa na timu ya taifa, sio sane huyo wa man city, sijawahi muona sane akicheza vzr akiwa na NT.
Mbali na hilo saizi sane anacheza akitokea kushoto ambapo tayari kuna Reus na Draxler, timu ya ujerumani ina mapungufu sana upande wa kulia ambapo Brandt ndio ana fit vizuri pia kama Low alivosema Brandt ana offer vitu vingi uwanjani kuliko sane ambae ye ni mzuri kwenye kushambulia tu.
Euro 2016? Bellarabi, Gotze, schullre, mbona nao walikuwepo. Sane alicheza mechi ngapi kwenye hiyo euro? Na kama unakumbuka vzri kwenye hiyo euro low alishawahi kumzungumzia kwamba sane hajitumi na ni mvivu wanapokua mazoezini.Wakati wa EURO mbona alikuwa na nafasi?