Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Duuuuh kama dora vile.... (in jiwe's voice)
Hivi sisi tulikuwa na 50K sijui iliishia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh kama dora vile.... (in jiwe's voice)
Kumbe hawana 200 na 500 za sarafu alafu noti yao kubwa ndo hiyo 1000?Naona noti ya 200 wametangaza riadha ambyo wanafanya vizuri sana kimataifa
Duuuuh kama dora vile.... (in jiwe's voice)
Milioni sabaUzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
1000 yao nilibadilisha Namanga mwezi wa 4 ilikua elf 22 za kiTanzaniaUzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Sio lazima kila mtu ajue wewe mjinga.!Mili
Milioni saba
Uzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Naona Kenyata hajaweka sura yake ila fidodido najua lazima aweke Komwe lake tu!
Sawa na TZS 22500Uzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
24,000Uzuri wa sarafu yoyote ile ni kwenye thamani yake tu, hongera zao naona wenzetu noti kubwa ni 1000, sijui sawa na shilingi ngapi za Tanzania kwa mnaojua.
Wanayo 5000,ila ni special haitumiwi ovyo ovyoKumbe hawana 200 na 500 za sarafu alafu noti yao kubwa ndo hiyo 1000?
Fidodido ni Kagame?Naona Kenyata hajaweka sura yake ila fidodido najua lazima aweke Komwe lake tu!