Sarafu ya Iran yashuka hadi chini kabisa huku kukiwa na mvutano kati yake na Marekani na Ulaya

Uchumi hauna siasa ukiona mtu anafanya drama za uchumi na siasa mwangalie alafu cheka. Hujasikia jamaa wa kwa chra walishusha dola dhidi ya tz na sasa wanaenda kuipandisha mpaka mshangae?
 
Pole ndugu. Punguza hasira, toa elimu. Makasiriko yatakuzeesha mapema.
 

Kwahiyo dollar ikipanda watu wasilalamike wala kuitukana serikali maana haina tija?

NB: ni dollar sio dora.
 

View: https://x.com/TheHarrisSultan/status/1869892312836518291
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…