Saratani ni tishio, bado bei ya tumbaku ni kubwa kuliko pamba, chai na katani

Saratani ni tishio, bado bei ya tumbaku ni kubwa kuliko pamba, chai na katani

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Wizara ya Afya imetaja matumizi ya tumbaku kama moja ya sababu ya watu kupata saratani. Hata hivyo bei ya zao la tumbaku ni kubwa kuliko mazao mengine ya biashara katika soko la dunia

Kwa takwimu za kuanzaia Januari 2015 hadi Septemba 2021, wastani wa bei ya tumbaku ni Dola 4.7 kwa Kilogram ambayo ni sawa na Tsh. 10,870, bei hiyo imefuatiwa na chai yenye bei ya wastani wa Dola 2.8 takribani Tsh. 6,470

Bei ya soko la dunia la tumbaku inaweza kuwa kikwazo katika mapambano dhidi ya saratani.
1643961852385.png


Signed OEDIPUS
 
Naomba statistics zifuatazo :-

Cancer imeongezeka au Impepungua. ?

Uvutaji wa Tumbaku na awareness kuhusu Madhara ya uvutaji umepungua au umeongezeka ?

Nadhani hapo katika hizo correlation utagundua kwamba kuna other player at hand.... Ni vingi vinavyotuua sasa na somo zimekuwa nyingi kuliko hapo awali..., sasa hii huenda kila unachotia mdomoni kina sumu na athari
 
Back
Top Bottom