Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jiulize sare mpya picha ya raisi inahusikaje hapo, na kitambulisho picha ya raisi inahusikje tena hapo.Wivu wao tu..wakiona boda boda wanapiga hesabu za maokoto vzr wanataka na wao wachukue humo humo
Mkuu hizi ni sababu kuu 3 za ajali za barabani.Kila siku wanashindwa kukusanya kodi, tatizo sio sare kama ni ajali. Wekeza kwenye barabara bora uwone kama ajali utasikia....
Wanahisi hiyo picha italeta ushawishi kwa wahusika na kujiunga wengi lkn pia ni mileage ya mwenye picha...lkn pia ni faida kwa aliyesema iwekwe maana amejua kucheza na fursaWewe jiulize sare mpya picha ya raisi inahusikaje hapo, na kitambulisho picha ya raisi inahusikje tena hapo.
Wajenge barabara bora magari yanayoenda yasiingiliane na yanayotudi uwone kama kuna ajali....
Hili la vitambulisho ni mradi mpya wa kodi wameubuni
Mbona kwa mwendazake mlikua hamuongei hivi .....?Sasa hiyo picha ya SSH ya nn kwenye hiyo jezi?
Iwe kwa Tanzania nzima na iwe lazmaSare mpya kwa Madereva Bodaboda Dar es salaam
Hivi karibuni zitazinduliwa sare mpya kwa madereva wa Bodaboda Dar es salaam ambapo sare hizo zitakuwa na namba na ukiingiza hiyo namba kwenye mfumo utajua taarifa zote za huyo dereva na sehemu anapotokea.
Ambapo Mkuu wa Wilaya ya Ilala Muheshimiwa Edward Mpogolo, akiwa ametinga uniform Maalum ya madereva bodaboda ambayo inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni jijini Dar es salaam. Hii nzuri sana itasaidia kupunguza vitendo vya wizi na kwa madereva hao kwani baadhi yao sio waaminifu na kuhamasisha usafi.Tunapoelekea dereva wa Bodaboda akifanya lolote lile ambalo sio zuri inakuwa rahisi kumpata.
Hii nzuri sana isiishie Dar es salaam iwe kwa bodaboda Tanzania nzima
Wale bodaboda ambao wanakimbia baada ya kusababisha ajali au wale ambao wanavunja side mirror na kukimbia hapa itakuwa mwisho waoView attachment 2949037.
Maza anapenda kuonekana ndiyo maana wateule wake wamemjuliaSasa Samia kapigaje hapo?
Kwanza natoa shukrani kwa mama kwa kuniwezesha kukopa bundle na kuweza kuingia JF.Sasa hiyo picha ya SSH ya nn kwenye hiyo jezi?
Hahahah papah musofeeehuo ni mradi wq manispaa wakuwapiga maokoto maafsa usafirishaji ,
suala uchawa pia lishaota mizizi sana kumshirikisha muheshimiwa rais katika petty issues kunaondoa heshima ya hio title ataonekana kama mapedeshee tu wanaopenda kusifiwa ili wamwage manoti
Ndiyo mungu wao anayewapa riziki na uhai!Sasa hiyo picha ya SSH ya nn kwenye hiyo jezi?
🤣🤣🤣Waongezeh hijab tubalanceKwanza natoa shukrani kwa mama kwa kuniwezesha kukopa bundle na kuweza kuingia JF.
Pili, kuhusu picha ya mama, ipo hapo kama motisha kwa kijana wa bodaboda kujituma kwa ari na nguvu zote ili awe kama mama😀😀😀😀.
Wamesahau hijab tu ndani ya helmet.
Zitawekwa gps🤣🤣Zinapunguza vipi ajali?
Tatizo bongo tulionalo wale wenye uwezo mkubwa ndio wako mtaani wanatafuta ajira, wale wenye uwezo mdogo ndio hao wako serikalini.Wanahisi hiyo picha italeta ushawishi kwa wahusika na kujiunga wengi lkn pia ni mileage ya mwenye picha...lkn pia ni faida kwa aliyesema iwekwe maana amejua kucheza na fursa
Kila nchi ina wazembe, ubovu wa magari unachagizwa na barabara, tuwe na barabara nzuri alafu tuache au tupunguze kuagiza gari usedMkuu hizi ni sababu kuu 3 za ajali za barabani.
1. Miundombinu ya barabara
2. Uzembe wa madereva
3. Ubovu wa vyombo vya usafiri.
Kwahiyo hata ikitokea ukaweka miundombinu mizuri ya barabara bado hizo sababu nyingine zitakuangusha