Sare mpya Kwa madereva bodaboda DAR

UCHAWA UMEKITHIRI KUNA SIKU UNIFORM ZA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI na WAGONJWA waliolazwa ZITABANDIKWA PICHA YA Bi mkubwa
Nimesikia mashuka ya MSD toleo jipya yatakuja na picha mama kizimkazi
 
Kwanza kwa dhati kabisa napenda kuishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na mama yetu Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…