Sare ya Real Madrid vs Real Mallocra jana ni somo tosha kwetu mashabiki wa Simba tulioipenda timu miaka hivi karibuni

Tumekamilika sana mkuuπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Ujue Dube,Kii,Pacome,Bocca na Mbappe wetu Max....vitasaa BBD anapita nani kumkuta Diarra master πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Aje kama haogopi.
Ndiyo hao uliowataja wapambane na Real Madrid kisa katoa droo na Mallorca?

πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜„

Yanga mna mbwembwe Sana nyie watu
 
Simba mmejifunza nini sasa?
 
Kha! Really,mbona wakawaida tu mbona nasis
Ndiyo hao uliowataja wapambane na Real Madrid kisa katoa droo na Mallorca?

πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜„

Yanga mna mbwembwe Sana nyie watu
nasisi
Ndiyo hao uliowataja wapambane na Real Madrid kisa katoa droo na Mallorca?

πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜„

Yanga mna mbwembwe Sana nyie watu
mbona nasisi tumecheza na Ausburg ya Bundles Liga tukawatoa kamasi mkuu afu ndo tulikua tunatest mitambo tu.Yaani basi tu Ila Yanga Sasa hivi inahadhi ya kuchezaa UEFA champions na ikapasua robo Fainali manzeeeπŸ”₯πŸ”₯
 
πŸƒπŸƒπŸ˜­πŸ˜­

Ausburg walikuwa wanacheza ama wanafanya mazoezi... πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…