Makambovich
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 207
- 200
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa hatukupata mda wa kuloga na kupuliza unga na spray zetu vyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usicheke mkuu bila buster mambo huwa ni kama hivi.
Kama tulizowapulizia yanga tukawakojolea kimoja???Kabisa hatukupata mda wa kuloga na kupuliza unga na spray zetu vyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukifumaniwa tena usiku gizani halafu ukakurupuka na t-shirt ukajifunga kiunoni (namaanisha huna shati wala suruali zaidi ya hiyo t-shirt) kufika mbele ukagundua ni jezi ya Yanga je utaitupa utembee uchi? Au utajikaza utembee nayo?Yanga bana,kufatilia michezo ya wanaume tu. Game zenu aibu kabisa bora hata niangalie rede nione hata chupi kuliko Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuuKabisa hatukupata mda wa kuloga na kupuliza unga na spray zetu vyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli tunawasubiri pale congoAsanteni kwa kushiriki Simba
Sent from my iPhone 5s using JamiiForums mobile App
Serikali au BOCCO?*Sare ya Simba lawama kwa Serikali,*
kitendo cha kufungia uwanja kimetuathiri sana, siku zote ili kummaliza adui tunahitaji muda mrefu wa maandalizi ikiwemo kamati zetu kuweka miundombinu vizuri pale uwanjani.
kwa mechi hii ilikua vigumu sababu uwanja ulikua tayari mikononi mwa serikali, wazee wetu walijitahidi kadri ya uwezo wao kuhakikisha matokeo mazuri yanapatikana bahati mbaya muda haukuwa rafiki sana haswa kwa kuzingatia na wakongo walijipanga sana kutokana na matokeo waliyopata Vita!!
Tushukuru kwa hatua tuliyofikia hakika tumeandika historia
Yes we can
Mkuu Ukiona chupi Ndiyo raha yako??Yanga bana,kufatilia michezo ya wanaume tu. Game zenu aibu kabisa bora hata niangalie rede nione hata chupi kuliko Yanga
Nyie liniAsanteni kwa kushiriki Simba
Sent from my iPhone 5s using JamiiForums mobile App