Pre GE2025 Sare za CHADEMA zagombewa mitaani. Magwanda ya Khaki yawa dili, yaanza kuadimika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diwani mstaafu - Tumechelewa Sana Kufanya Maandamano


View: https://m.youtube.com/watch?v=BnyJjciOv6Y
Diwani mstaafu kutoka Mbalizi almaaruf kwa jina KK anafafanua kwa mapana na marefu kutokana na uzoefu kama mwenyekiti wa kijiji kwa miaka 8, diwani mstaafu ..... ngazi zote hizo za uongozi kupitia CHADEMA na kumpa ushauri mkuu wa mkoa wa DSM kuhusu ...
 
Mtoa hoja unefirisika kifikra,una msongo wa mawazo umebaki kujifariji kwa vitu vya kijinga,
 

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1748762594402254860?t=R16fERUFE2l5n5PC1CFzww&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…