DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takataka wewe! Unajua matusi wewe?, Atoke kwenye uongozi kwa chadema ni Mali yake?.au ww ni mke wake mdogo?.Mpuuzi ni wewe unayemtukana mbowe wakati ni baba yako, unamjua baba yako wewe? Nakupa tarifa mheshimu Mbowe ni baba yako!
Wewe na nani?Watu tutaunga mkono chama endapo Mbowe ataondoka madarakani
Una akili timam?, Sio kila anayempinga huyo bwana yenu ni uvccm? Mbowe aachie ngazi Hana jipya analoweza kuisaidia chadema.Wewe na nani?
Uvccm uunge mkono CDM?!!!
Dada acha hasira utaolewa tu...Wewe na mume wako?
Huyo kisamvu tu ...kazoea vya dezoHutaki unaacha , siku zote CHADEMA inauza vifaa , havigawiwi bure kama huko kwenu ccm
Maandalizi yazidi kupamba moto nchi nzima
18 January 2024
Arusha, Tanzania
Viongozi wa CHADEMA watamatwa na kuachiwa kisa matayarisho ya maandamano.
Viongozi wa CHADEMA kanda ya kaskazini watoa tamko
View: https://m.youtube.com/watch?v=Nq_tZAlerBw
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Arusha kamanda Elisa Mungure amezungumza na waandishi wa Habari ...
Wana Yanga watazivaa kweli hizo t shirts? Ahahahahaha!!!
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
karibu kitumbini uwahi gwanda kabla haIjaishaAhsante kwa taarifa...
Maandamano ni ya Amani , Waache wanunue tuKuweni makini isije ikawa ccm inatuma makamanda feki wanunue ili kufanya wanalotamani
Hatari snWashashikwa na MHAO
Njoo Kitumbini , uliza duka la Wachinanalipata vipi hilo gwanda ndugu
😀😀😀Kwa hiyo hao watu wawili wanaotandika mahali pa kupumzika ndio wapo kugombania sare za chama Chenu chovu? Kweli nyie ni mafisi na manyumbu.Hivi uliwahi kuona uzi wa mwashambwa ulio na ushahidi picha au video ? sijui mnanilinganishaje na watu duni kama hao yaani !