CHADEMA na watanzania kona zote mitaa, vijiji, tarafa, wilaya, mkoa, kanda na taifa zima wanaungana
View: https://m.youtube.com/watch?v=yuB3GVJf97w
View: https://m.youtube.com/watch?v=yuB3GVJf97w
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa maumivuTakataka
na yanafahamika kwako binafsi, mwenyewe na wewe pekeyako tu 🐒Maduka yanayouza vifaa vya Chadema yanafahamika nchi nzima
Hutaki unaacha , siku zote CHADEMA inauza vifaa , havigawiwi bure kama huko kwenu ccmna yanafahamika kwako binafsi, mwenyewe na wewe pekeyako tu 🐒
Walanguzi wote wapo chadema!View attachment 2875596
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
View attachment 2875597
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
View attachment 2875598
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
serikali isihangaike na hawa mizoga wa Chadema washaoza hawa ni kundi la matapeli hakuna atakayekubali kutumika na mamisukuleHistoria kuandikwa tarehe ya 24 January 2024 nchi nzima kuitikia wito kuandamana kwa amani ili kuitia mbinyo (pressure) serikali ya CCM na bunge lake kusikiliza maoni ya kutakiwa kuitupilia mbali miswada mibovu ovu dhidi ya uhuru na demokrasia.
najua mnauza vifaa vya ujenzi na pembejeo za kilimo mkuu, kwa hilo sikubishii ila izo vitu zingine ni porojo tu 🐒Hutaki unaacha , siku zote CHADEMA inauza vifaa , havigawiwi bure kama huko kwenu ccm
CHADEMA na upigaji ni kama mizizi na ardhi. Yaani hata sare za chama mnawapiga wafuasi wenu kwa kuwauzia bei mara mbili? Ninatumaini Wizara ya biashara chini ya serikali ya CCM itaitikia wito wako wa kudhibiti upigaji ulioko kwenye uuzaji wa sare za chama chenu.
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali
Noma sanaTumaini letu pekee ni Chadema tu!
Hutaki unaacha , siku zote CHADEMA inauzana yanafahamika kwako binafsi, mwenyewe na wewe pekeyako tu 🐒
CHADEMA YAONGEZA JOTO LA KISIASA NCHI NZIMA, KWA MAANDAMANO YA AMANI
wanachama walishaanza kupasha moto wa elimu ya kiraia muda mrefu
View: https://m.youtube.com/watch?v=bkHahkuHy94
Ila ww jamaa bhana 😂😂 ungekuwa msanii ungepiga sana pesa za show mana ungekuwa na mistari mikali sana, yani sehemu yenye 0 unalazimisha iwe 1 😂
Baada ya Mwamko wa Wananchi wa kushiriki Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema kuwa juu , Sare za Chama hicho zageuka dili .
Maduka yote yanayouza sare hizo yakipandisha bei mara dufu , huku Magwanda ya Khaki yanayotengenezwa Thailand yakiwa dili zaidi , huku taarifa zikionyesha kwamba yameanza kuadimika .
Natoa wito kwa Wizara ya Biashara kuingilia kati bei ya vifaa vya Chadema ili kila mwananchi avipate kwa bei ya halali