MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Sheria ni sheria tu. Apewe adhabu yake kisha kama kuna namna asaidiwe ajiunge na jeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekua nchi za wenzetu wangeangalia uwezekano wa kumuingiza jeshi,kwa maana anaonesha anaitamani sana kazi hiyo,lakini hapa kwetu anabahati sana kukamatwa na jeshi la polisi ,saa hizi angeshakuwa uji.wamuingieze hata kwenye mgambo.
And there is where the difference btn 1st world anf 3rd world come from !ingekua nchi za wenzetu wangeangalia uwezekano wa kumuingiza jeshi,kwa maana anaonesha anaitamani sana kazi hiyo,lakini hapa kwetu anabahati sana kukamatwa na jeshi la polisi ,saa hizi angeshakuwa uji.
mgambo hawana ajirawamuingieze hata kwenye mgambo.
Unaa huo.Asitafute huruma!
Mara nyingi askari akifariki au hata kustaafu au kuacha kazi kwa utaratibu vifaa vyake vyote vya kijeshi vinarudishwa jeshini.
Aseme vizuri hizo nguo alikuwa anazifanyia kazi gani?!
😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Haaaaaa kwelii mkuu, vijana wengi hawajui tabia na mwenendo wa askari au mwanajeshiWajinga sana hawa vijana majeshi yote...sheria kuu ni usafi usafi usafi....kuanzia mwili hadi mavazi kinacho sababisha wanashukiwa kuwa si wanajeshi ni kutokana na 1.kuchanganya sare na mavazi mengine ambayo hayaendani
2.mtu anashindwa kuzipunguza ziendane na umri wake...
3.sare kubwa kama mfuko wa kutolea unga kwenye mashine ya kusaga.
4.unyoaji wa kiaskari unajurikana
5.kutokuvaa sare zilizokamilika kuanzia kofia hadi buti.
6.kutokujua tabia za kiaskari
Hapo lazima ukamatwe tu
Haaaaa kweli wengne hata mkanda anakosea kuuvaa!!Askari muda wote anatakiwa kuwa timirifu...kama yupo na un-form....
Sasa awa askari feki
Utakuta kavaa
1.gwanda na Raba
2.Kavaa gwanda lakini hajavaa kofia.
3.kavaa kofia na gwanda lakini kofia kavaa anavyojua yeye wakati kofia inauvaaji wake kuna baret na cape kila moja inavaliwa kwenye mission maalum.
4.salamu za kijeshi/kiaskari hapo sasa ndipi wengi wanapo uvaa mkenge na kujikuta mapema wanakamatwa