Sare za JWTZ zamuweka kijana matatani

Sare za JWTZ zamuweka kijana matatani

Akatuoneshe alipo marehemu wetu
Halafu hilo licombat ni oversize hapo lazima wamuotee tu
 
Dah! Kama mi nilipenda Sana kazi ya kuvaa suti nyeusi au darkblue lakini sikuipata na sintoipata tena
 
Asitafute huruma!
Mara nyingi askari akifariki au hata kustaafu au kuacha kazi kwa utaratibu vifaa vyake vyote vya kijeshi vinarudishwa jeshini.
Aseme vizuri hizo nguo alikuwa anazifanyia kazi gani?!
😡😡😡😡😡😡😡😡😡
Umakuta ana sare zaidi ya moja na kuna wakati zinakua adimu mpaka unajinumulia so inakua vigumu kujua kila. Askari ana sare ngapi
 
Tutampa ajira mpaka akiokoa maisha ya mtoto kule Ufaransa, huyu mzalendo au anatumia sare ili asilipe nauli za usafiri?.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tutampa ajira mpaka akiokoa maisha ya mtoto kule Ufaransa, huyu mzalendo au anatumia sare ili asilipe nauli za usafiri?.


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
Ama ajilipue kwenye msafara wa mkulu akiwa kwenye mikutano yake aliliee weeeee labda mkulu atamuonea huruma.
 
Back
Top Bottom