Sare za JWTZ zamuweka kijana matatani

Sheria ni sheria tu. Apewe adhabu yake kisha kama kuna namna asaidiwe ajiunge na jeshi
 
Kuna video ya huyu kijana mbona nitukio la siku nyingi hili
Kuwa tukio la siku nyingi kuna husiana vip hiii mada inayojadiliwa apa ndani mkuu au likisha kuwa ni tukio la siku nyingi halitakiwi tena kujadiliwa?
 
ingekua nchi za wenzetu wangeangalia uwezekano wa kumuingiza jeshi,kwa maana anaonesha anaitamani sana kazi hiyo,lakini hapa kwetu anabahati sana kukamatwa na jeshi la polisi ,saa hizi angeshakuwa uji.
And there is where the difference btn 1st world anf 3rd world come from !
 
Unaa huo.
 
Haaaaaa kwelii mkuu, vijana wengi hawajui tabia na mwenendo wa askari au mwanajeshi
Nywele ndefu. Ndevu hajanyoa, sare gwanda inapgwa mixer na li t shirt rangi cyo hapo lazima tu uingie kumi na nane
 
Haaaaa kweli wengne hata mkanda anakosea kuuvaa!!
 
Kama huna nia mbaya utayavaa mavazi hayo kwa sababu ni ya kufanyia mazoezi au?? Mambo mengine ni ujuha tu unawasumbua watu. Anayeyavaa bila halali nia yake awapate wajinga awaibie
 
Yanaingiaje?
Yanapita wapi?
Yanauzwa wapi?
Why mnadili na wanunuzi na sio wauzaji?
Maswali ni mengi kuliko majibu!

Kingine mie huwa nawashangaa wanaoyavaa coz sionagi hata mvuto wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…