Sare za kiume za wanachama wa CHADEMA NA ACT Wazalendo ninyi mnazionaje

Mkuu sare ya chama iko ndani ya katiba hata logo iko ndani ya katiba acha ushamba. Na hiyo wanachama ndio ambao hu design. Chama bira sare sio chama. Sare ndio utambulisho wa chama acha uchakubanga.
 
Mie nilidhani za Klabu ya Yanga
 
Ukichukua..Shati la njano na kijani na khaki...nzi watakimbilia njano na kijani wakijua ni maembe ya kibada
 
Nyerere hakuwahi kuvaa haya malapulapu sijui kwann?? Hajawahi hata ck moja
 
Mazingira/mimea ni ya kijani kwa sababu ya chlorophyll ya kusaidia photosynthesis acha uzembe ww
Hebu hapo ulipo vaa suruali ya kijani na shati la njano halafu mwenzako avae shati la blue na suruali nyeusi halafu uone
Hiyo chlorophyll hata aliyesoma ngumbaru anaijua hapa tunaongelea mavazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…