Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Totti sio no 9Mwamba amelazimika kustaafu bila kupenda kufuatia kupatikana na matatizo ya moyo
Binafsi katika nyakati hizi toka 2008 hadi Sasa naamini dunia imepata namba 9 mahiri wa 11 tu
1.Zlatan Ibrahimovic
2.Sargio Aguero
3.Lowerndosk
4.Haland
5.Luis Suarez
6.Cavan
7.podosk
8.Toti
9.Benzema
10.Drogba
11.Etoo
Aguero nitamkumbuka kwa kufunga magoli mengi akiwa na man City na hata Atletico club de Madrid
Kati ya magoli nitayakumbuka Kuna moja Aguero aliingia Sub akafunga goli lilowapa city ubingwa wa kwanza
Na Kuna mechi man U alimpiga city 4-2 Aguero alipiga goli mbili classic
Binafsi namkumbuka kwa magoli yake ya kibabe
Uwezo wake wakugeuka na kushoot kwa nguvu
Hakika Aguero ni tofauti Sana na washambuliaji wakuprogramiwa
Wewe itamkumbuka kwa lipi?
Rooney pia sio 9, aliwahi tu kucheza hio namba mechi chache.Bila rooney ni batili
Rooney pia sio 9, aliwahi tu kucheza hio namba mechi chache.
Ndio Mkuu, Rooney na Totti ni namba 10 waliokuwa na uwezo mkubwa sana wa kufunga na mara kadhaa kutokana na uwezo wao kufunga basi walichezeshwa kama namba 9Ni 10??
Ndio mkuuNi 10??
Ndio mkuu
Have you ever seen anything like this before
RVPMkuu unakosea sana ulivomwacha mwamba robin van persie
Etoo yupowapi Didie zokola wap Etoo aaaakh wapi shelvshenko bila torress huu uzi ufutwe
Aliekula umeme??City win the title its Aguerooooo with his 13th goal of the season i dont believe what iam seeing!!Mtangazaji nadhani alikuwa shabik wa Man city maana kama alikuwa analia vile.Good effort Balloteli alifanya kipindi kile.Ila QPR walikuwa wasenge kumpoteza nahodha wao sijui alikuwa anaitwa Barry alitokea City kwenda QPR!
ni Gareth Barry alikula Umeme!Aliekula umeme??
Haikuwa Joe Button??