Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,446
- 14,880
Na Fernando Toreeeeeeeeeesss sijui amemsahau vipiYani rooney mfungaji bora wa pili wa muda wote uingereza ujamtaja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Fernando Toreeeeeeeeeesss sijui amemsahau vipiYani rooney mfungaji bora wa pili wa muda wote uingereza ujamtaja.
Kinachofanya nimkumbuke ni uoga wangu kila nikimuona kwenye list halafu tunacheza nao, Pep akimfanyia sub huwa nafurahi sana maana najua tishio katolewaMwamba amelazimika kustaafu bila kupenda kufuatia kupatikana na matatizo ya moyo
Binafsi katika nyakati hizi toka 2008 hadi Sasa naamini dunia imepata namba 9 mahiri wa 11 tu
1.Zlatan Ibrahimovic
2.Sargio Aguero
3.Lowerndosk
4.Haland
5.Luis Suarez
6.Cavan
7.podosk
8.Toti
9.Benzema
10.Drogba
11.Etoo
Aguero nitamkumbuka kwa kufunga magoli mengi akiwa na man City na hata Atletico club de Madrid
Kati ya magoli nitayakumbuka Kuna moja Aguero aliingia Sub akafunga goli lilowapa city ubingwa wa kwanza
Na Kuna mechi man U alimpiga city 4-2 Aguero alipiga goli mbili classic
Binafsi namkumbuka kwa magoli yake ya kibabe
Uwezo wake wakugeuka na kushoot kwa nguvu
Hakika Aguero ni tofauti Sana na washambuliaji wakuprogramiwa
Wewe itamkumbuka kwa lipi?